makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
🤣🤣Cha kamba?Duh!Atakuwa anadumbukia katikati kama yumo ndani ya kalavati.Halafu,siku hizi hutumika kuoshea maiti.Atakuwa haishiwi ndoto anafanya kazi mochwari.😂
Mkuu ujue uache dharau, nakujibu comment yako nikiwa kwenye kitanda changu cha kamba.