makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
π€£π€£Cha kamba?Duh!Atakuwa anadumbukia katikati kama yumo ndani ya kalavati.Halafu,siku hizi hutumika kuoshea maiti.Atakuwa haishiwi ndoto anafanya kazi mochwari.π
Nina uhakika ni mninga kwa sababu mimi ni fundi pia.Una uhakika ni mninga mninga unaujua wewe mafundi watakuambia ni mninga
Wapi huko mkuu!Huku kijijini kwetu mbao ni nyingi mno.Vya vyuma ndiyo bei ghali.
Nina uhakika ni mninga kwa sababu mimi ni fundi pia.
Mafinga mkuu.Wapi huko mkuu!
Samahani muhishimiwa.Nilidhani Ni kama zile hammocks kumbe sivyo.Ila dah!Hata wezi wakiingia humo chumbani ni kazi sana kujua kama umepumzisha fuvu lako hapo.ππππππ€£π€£
Mkuu ujue uache dharau, nakujibu comment yako nikiwa kwenye kitanda changu cha kamba.
Na hao wezi mpaka waje humu wanakuja kutafuta niniπ€£πSamahani muhishimiwa.Nilidhani Ni kama zile hammocks kumbe sivyo.Ila dah!Hata wezi wakiingia humo chumbani ni kazi sana kujua kama umepumzisha fuvu lako hapo.πππππ
Wao si ni kampuni ya uchukuzi bila leseni!Unaweza kukuta wamedhania hapo ni ofisi ya NIDA makao makuu wamefika wapate namba wasajili laini za simu.Na hao wezi mpaka waje humu wanakuja kutafuta niniπ€£π
Wakija watakutana na kitanda cha kamba na mkeka tu.Wao si ni kampuni ya uchukuzi bila leseni!Unaweza kukuta wamedhania hapo ni ofisi ya NIDA makao makuu wamefika wapate namba wasajili laini za simu.
Kuwa makini.Hawakawii kusafisha nyumba na kukubeba ukiwa usingizini bila kujua.π€Wakija watakutana na kitanda cha kamba na mkeka tu.
Kokote alipo huyo alietengeneza pongezi zimfikieSawa mkuu uko vizuri sana kama wewe ndo umetengeneza au huyo fundi wako!
Team mbao oyeee!!Kanunue cha mbao mkuu
Hakiishi fashion na ni imara
Hongera sana
Hakuna mninga hapo. Mninga ukipigwa msasa na polish unawaka balaa.Mbona kama bei kubwa sana mkuu, hiki hapa ni mjinga nimekitengeneza kwa 350,00 hapa dar, sasa huko si ingeweza kuwa bei chini kido walao 300,000View attachment 2761286
Bajeti yako lak3 na upo mkoa gani?Asante mkuu barikiwa na wewe pia ila Mimi sio mzoefu na aina ya mbao ngumu maana Kuna za kupekechwa na bajeti yangu ni lk 3
Cha mbao safi sana aise,Ni kitanda gani kizuri na sifa zake nikanunue
Hatimaye kama nilivonuia kwamba mwezi wa tisa hautaisha bila kuwa na kitanda ni karibia mwaka Sasa Mm na mama mtoto wangu tunatupa godoro yetu chini asanteni
Wote mlionipa matumaini tokea siku ya kwanza nilipolalia mabox
MUNGU ASIFIWEEEE
Ht mbao ya mnazi ni ngumu sanaKuna mbao ambayo haipekechwi hovyo wala haibunguliwi ni ngumu na nzito ila tu thamani yake sio kubwa sana ni mkatusi, unaweza kudumu nacho kwa muda sana labda kiishe fashion tu
HoyeeeTeam mbao oyeee!!
walau kukuche tuπKuna watu wanalala na kuna tunao jilaza π
Mbao ya mnazi ni nzuri Kwa furniture..mninga na mpodo ni nzuri zina rangi nyekundu sema currently nimekuwa na Mapenzi sana na furniture za mtiki.Ht mbao ya mnazi ni ngumu sana
Hoyeee
Bora pakuche mkuu πwalau kukuche tuπ
Hivyo enh nilikuwa sijui kuhusu rangiMbao ya mnazi ni nzuri Kwa furniture..mninga na mpodo ni nzuri zina rangi nyekundu sema currently nimekuwa na Mapenzi sana na furniture za mtiki.