" elite patch ya SAS" Hii ni nini mkuu...?Yes ni SAS member. Lakin inategemea kama ni yuko in active duty.. au yuko likizo.. au amestaaf.
Kumbuka hawa jamaa wakistaaf nchi bado inawatambua. Huwa wanatembea na ile elite patch ya SAS.. likitokea la kutokea basi wajue ni mwenzao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo yupo kwa ajili ya training kwenye Kenya special forces
Nilisoma kwenye gazeti la Mirror UK wanavyo msifia ni balaa
Jamaa lilimkuta tu tukio hilo akiwa na mambo yake ndipo akarudi kwenye gari lake ambapo zana zake zilikuwa humo.
Akavaa na kuchukua silaha na kuanza kutoa maelekezo kwa jeshi la kenya
Yaani jamaa alishika usukani mpaka anamaliza mission
Sent from my SM using Tapatalk
Magaidi wakishakaririshwa kile kitabu chao akili zinahama kabisa wanaona hapa duniani hapafai.Ugaidi mi naona hauna faida; yaani bosi wako kakaa ofisini eti wewe at very younger age unakwenda kujitoa utumbo - maweee!!!
Mkuu huyo mpambe na huyo kibosile walikuwa katika hali ya utani pale magogoni.Huyo jamaa kajibu comment ya mpuuzi mmoja (sina uhakika kama ni wewe) aliyekuwa anamsifia body guard (mpambe) wa rais kwa kumchoma dole za mbavu Boss mmoja mbele ya muheshimiwa!
Ndo ameuliza kuwa kipimo cha uhodari wa mpambe huyo wa Mheshimiwa ni kumchoma dole za mbavu Raia wa kawaida asiye na mafunzo ya kijeshi au ni kupambana na Makamanda wenzie (mf: Majambazi na Magaidi)!!?
Naona umekurupuka kudandia usiyoyaelewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unaleta story zako za vijiweni. Sijui bodyguard ameweka vidole tumboni! Unaonekana mjinga tu.Mpumbavu ni wewe usiyeelewa maana ya neno "nimekumbuka", waingereza wanasema "it reminds me", someni kila neno na muelewe linamaanisha nini.
Mnafeli mitihani rahisi huko mashuleni kwa sababu ya vitu vidogo vidogo kama hivi, mnajiona mnajua kila kitu matokeo yakija mnajikuta mmefeli.
Kama hupendi kuzisoma mkuu pita kimya kimya. Sio lazima kila mtu aandike kadri ya maoni au hisia zako, wapo wamenielewa na wamepita kimya kimya.Wewe unaleta story zako za vijiweni. Sijui bodyguard ameweka vidole tumboni! Unaonekana mjinga tu.
Mkuu huwezi kuanza kusemea kitu usicho kuwa na abc nachoDaah umejuaje yote haya mzee nawewe ... unahusika kwahyo field nn
Punguza Mahaba.Sasa nikwambie hivi waliyokuwa wanamlinda ni huyo jamaa ni ISI walipoona hana shida ndiyo wakaunguza picha hawakujua wenyewe kupitia hizo mbinu.
Ujasusi waache ISI kama walivyo, mmarekani aliletwa hakuja mwenyewe nyingine ni porojo zao tu.
Mtu mzima akimaizi mkubwa mwenzie amepotoka huwa analainisha maneno.Say Amen to that!ππππMtu anayeandika kitu kwa kujiamini wakati hana uhakika ni muongo
Kuna mtu nusu? Wote tu wazimaMtu mzima akimaizi mkubwa mwenzie amepotoka huwa analainisha maneno.Say Amen to that!ππππ
Hivi waki
staafu wanaondoka na mazagazaga yote hayo (mabunduki,visu etc) na kukaa nayo kwenye nchi za watu? au Bongomovie?
Oooh...ndiyo leo nimejua.Kuna mtu nusu? Wote tu wazima
Nakubaliana na wewe. Kama utakumbuka,kwenye vita vya Taliban kule Torabora,US alirusha makombora mengi sana kwenye yale mapango. Lakini kutumia binadam kuingia chimbo,lilikua ni jeshi la Uingereza lilituma Askari wake wa miguu kuanza kuingia mapangoni. Jamaa inaonekana wako vizuri sana. Ama US anawashinda UK labda kwa silaha za kisasa na uwingi tu. Kwa mfano Air Force na Marine(Navy) US ni moto wa kuotea mbali akifuatiwa na Russia.Mkuu Troll historia inasema kwamba vikosi vya ulinzi na usalama vya Marekani kuanzia Intelijensi (OSS na CIA) hadi jeshi vilipata mafunzo makubwa sana kutoka kwa Muingereza. Yaani kama ambavyo Tanzania tulikuwa tunategemea Cuba, Urusi na Uchina, basi Marekani alikuwa anategemea sana Uingereza......
Uwezo wa SAS ni mkubwa sana, sijui hata kwanini imekuwa hivyo. Lakini hata wanajeshi wa nchi nyingine wanasema jamaa wako vizuri sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
... neno ubalozi likitajwa namkumbuka Khashogi! Balozi za Saudia zinakuwaga na visu maalum vya kuwachinjia wabaya wao na viroba vya kuhifadhi nyama baada ya kuwacharanga.
Wewe ukiona Kukri usiulize.Huyo anayemsema ni SAS trainer wa special forces Kenya.
RECCE kazi yao kula mtura!Mazee nimejiuliza kwanini Kenya Safari hii imewadhibiti haraka Magaidi Kumbe Kulikua kuna hawa Jamaa wanaotoka katika Most Elite Army Units on Earth
Tukianza na Navy Seal hawa ni Elites Army unit ya Marekani Wanao operate Katika Sea, Air na Land (combat) Interview na Mafunzo ya Navy Seal ni Magumu kuliko kikosi chochote cha Jeshi Ulimwenguni ni Vigumu sana kupambana nao wanajua Sana Kutumia Silaha na Kujilinda kwa kutumia miili yao Katika Tukio la Dusit walikuepo Navy Seal
Kuna British Special Air Service (SAS) hawa huwa hawaonekani Hovyo ni moja ya Vikosi bora wakiwa wamebobea katika mambo ya Kupambana na Ugaidi, na Kuokoa Mateka katlka Tukio la Dusit alikuepo mmoja ambaye alifika na Gari yenye namba za Ubalozi Akiwa na Mavazi ya Kulinda Mwili na Silaha na Alipambana na Magaidi Direct Mpaka Waingereza wenyewe wanashangaa kuwaona SAS wakipambana mchana kwani huwa wanapenda sana kufanya shughuli zao usiku.
SAS na Navy Seals ni watu waliondoka bila hata mkwaruzo wowote.
SAS huyu ana Kisu kipo tumboni hapo kinaonekana hapo kwa ajili ya mapambano ya Mkono kwa Mkono ana Pisto ana Hiyo Bunduki inayoitwa Modified Colt Canada Rifle Japo kichwani hana Helment huku akiwa katupia Jeans.
View attachment 997444
View attachment 997630
Najiuliza Kwenye Nchi zinazoendelea Elites Forces Unit kama hizi huwa zipo? Je ni kutokana na Uonevu wa Alshaabab Nchini Kenya Waliombwa waanzishe makazi yao nchini Kenya?