Ni Kitendo cha Nadra sana kuwaona Askari wa Uingereza Special Air Service (SAS) na Navy Seals

Ni Kitendo cha Nadra sana kuwaona Askari wa Uingereza Special Air Service (SAS) na Navy Seals

Yes ni SAS member. Lakin inategemea kama ni yuko in active duty.. au yuko likizo.. au amestaaf.
Kumbuka hawa jamaa wakistaaf nchi bado inawatambua. Huwa wanatembea na ile elite patch ya SAS.. likitokea la kutokea basi wajue ni mwenzao.

Sent using Jamii Forums mobile app
" elite patch ya SAS" Hii ni nini mkuu...?
 
Huyo yupo kwa ajili ya training kwenye Kenya special forces
Nilisoma kwenye gazeti la Mirror UK wanavyo msifia ni balaa
Jamaa lilimkuta tu tukio hilo akiwa na mambo yake ndipo akarudi kwenye gari lake ambapo zana zake zilikuwa humo.
Akavaa na kuchukua silaha na kuanza kutoa maelekezo kwa jeshi la kenya
Yaani jamaa alishika usukani mpaka anamaliza mission


Sent from my SM using Tapatalk

Kwa maujiko hayo ningekuwa mimi totoz zingeilnikoma - akili za kiswahili na ki ngono...😀
 
Ugaidi mi naona hauna faida; yaani bosi wako kakaa ofisini eti wewe at very younger age unakwenda kujitoa utumbo - maweee!!!
Magaidi wakishakaririshwa kile kitabu chao akili zinahama kabisa wanaona hapa duniani hapafai.
Wanawaza kuwahi mabikira huko peponi
 
Huyo jamaa kajibu comment ya mpuuzi mmoja (sina uhakika kama ni wewe) aliyekuwa anamsifia body guard (mpambe) wa rais kwa kumchoma dole za mbavu Boss mmoja mbele ya muheshimiwa!
Ndo ameuliza kuwa kipimo cha uhodari wa mpambe huyo wa Mheshimiwa ni kumchoma dole za mbavu Raia wa kawaida asiye na mafunzo ya kijeshi au ni kupambana na Makamanda wenzie (mf: Majambazi na Magaidi)!!?
Naona umekurupuka kudandia usiyoyaelewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu huyo mpambe na huyo kibosile walikuwa katika hali ya utani pale magogoni.

Mheshimiwa hakuwa karibu na wao wawili ndipo mpambe akamuua kumtania mwilini!!.

Nimeuchukulia ule utani humu ndani kama mazungumzo ya kawaida ya uchangiaji wa mada lakini wamebuka watu ambao wameamua kumalizia hasira zao za maisha kupitia nilichokiandika!!.
 
Mpumbavu ni wewe usiyeelewa maana ya neno "nimekumbuka", waingereza wanasema "it reminds me", someni kila neno na muelewe linamaanisha nini.

Mnafeli mitihani rahisi huko mashuleni kwa sababu ya vitu vidogo vidogo kama hivi, mnajiona mnajua kila kitu matokeo yakija mnajikuta mmefeli.
Wewe unaleta story zako za vijiweni. Sijui bodyguard ameweka vidole tumboni! Unaonekana mjinga tu.
 
SAS ni walenga shabaha mashuhuri sana, hata ukiwa mbali kivipi wanakutungua
 
Mkuu Troll historia inasema kwamba vikosi vya ulinzi na usalama vya Marekani kuanzia Intelijensi (OSS na CIA) hadi jeshi vilipata mafunzo makubwa sana kutoka kwa Muingereza. Yaani kama ambavyo Tanzania tulikuwa tunategemea Cuba, Urusi na Uchina, basi Marekani alikuwa anategemea sana Uingereza......

Uwezo wa SAS ni mkubwa sana, sijui hata kwanini imekuwa hivyo. Lakini hata wanajeshi wa nchi nyingine wanasema jamaa wako vizuri sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakubaliana na wewe. Kama utakumbuka,kwenye vita vya Taliban kule Torabora,US alirusha makombora mengi sana kwenye yale mapango. Lakini kutumia binadam kuingia chimbo,lilikua ni jeshi la Uingereza lilituma Askari wake wa miguu kuanza kuingia mapangoni. Jamaa inaonekana wako vizuri sana. Ama US anawashinda UK labda kwa silaha za kisasa na uwingi tu. Kwa mfano Air Force na Marine(Navy) US ni moto wa kuotea mbali akifuatiwa na Russia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha pale ni kama kambi ndogo. Kuna ma spies kule, wanajeshi wakawaida.. special forces pia wapo. Kikinuka ndio utawaona
... neno ubalozi likitajwa namkumbuka Khashogi! Balozi za Saudia zinakuwaga na visu maalum vya kuwachinjia wabaya wao na viroba vya kuhifadhi nyama baada ya kuwacharanga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao GSU (General Service Unit) ya Kenya ndio kama FFU huku Tanzania, na sio kweli kuwa hawakuwepo waga wapo tu siku zote toka wakati wa ukoloni.
 
Mazee nimejiuliza kwanini Kenya Safari hii imewadhibiti haraka Magaidi Kumbe Kulikua kuna hawa Jamaa wanaotoka katika Most Elite Army Units on Earth

Tukianza na Navy Seal hawa ni Elites Army unit ya Marekani Wanao operate Katika Sea, Air na Land (combat) Interview na Mafunzo ya Navy Seal ni Magumu kuliko kikosi chochote cha Jeshi Ulimwenguni ni Vigumu sana kupambana nao wanajua Sana Kutumia Silaha na Kujilinda kwa kutumia miili yao Katika Tukio la Dusit walikuepo Navy Seal

Kuna British Special Air Service (SAS) hawa huwa hawaonekani Hovyo ni moja ya Vikosi bora wakiwa wamebobea katika mambo ya Kupambana na Ugaidi, na Kuokoa Mateka katlka Tukio la Dusit alikuepo mmoja ambaye alifika na Gari yenye namba za Ubalozi Akiwa na Mavazi ya Kulinda Mwili na Silaha na Alipambana na Magaidi Direct Mpaka Waingereza wenyewe wanashangaa kuwaona SAS wakipambana mchana kwani huwa wanapenda sana kufanya shughuli zao usiku.

SAS na Navy Seals ni watu waliondoka bila hata mkwaruzo wowote.


SAS huyu ana Kisu kipo tumboni hapo kinaonekana hapo kwa ajili ya mapambano ya Mkono kwa Mkono ana Pisto ana Hiyo Bunduki inayoitwa Modified Colt Canada Rifle Japo kichwani hana Helment huku akiwa katupia Jeans.
View attachment 997444

View attachment 997630



Najiuliza Kwenye Nchi zinazoendelea Elites Forces Unit kama hizi huwa zipo? Je ni kutokana na Uonevu wa Alshaabab Nchini Kenya Waliombwa waanzishe makazi yao nchini Kenya?
RECCE kazi yao kula mtura!
 
Back
Top Bottom