Ni Kitendo cha Nadra sana kuwaona Askari wa Uingereza Special Air Service (SAS) na Navy Seals

Ni Kitendo cha Nadra sana kuwaona Askari wa Uingereza Special Air Service (SAS) na Navy Seals

safii...ndio maana safari hii shughuli imeisha mapema...maana hivi "vikosi maalum" vya kiafrika hua vmejikita zaidi katika kukabili waandamanaji na magaidi ya upinzani wa vyama vya siasa......mambo ya west gate yyale yaliwashinda wakaishia mpaka baadhi kukwapua vitu vya super market! asanteni sas na US navy SEALs
 
Mkuu mbona huyu jamaa hajakaa ki off duty off duty? Naangalia nyenzo zake si za ki off duty…
Correction. SAS huwa ndio unit bora zaid..
Selection ya SAS ni ngumu sana kuliko Navy seals.

SBS(special boat services). Hawa ni pacha wa SAS ila wamebobea kwenye maji.

Huyo unae muona hapo alikuwa off duty, au anaweza kuwa ex-SAS since wanaruhusiwa kustaaf ktk umri mdogo.
Huyu bwana alikuwepo eneo hilo wakati panavamiwa.. si kwamba alitumwa au kenya iliomba msaada hapana.
Ni tukio limemkuta akaamua kutoa msaada since yeye ni expert kwenye counter terrorism.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umenikumbusha yule mmojawapo kati ya wale wawili wanayekuwa pembeni ya JPM, sio yule mweusi namaanisha yule mzenji, siku moja alimuwekea vidole bosi mmoja maeneo ya mbavu, jamaa akajikuta anakuwa mpole.

Huyo mjomba akamwambia kibosile hapa nikizidisha kupeleka vidole vyangu mbavuni mwako, nakuondoa duniani.
 
Mazee nimejiuliza kwanini Kenya Safari hii imewadhibiti haraka Magaidi Kumbe Kulikua kuna hawa Jamaa wanaotoka katika Most Elite Army Units on Earth

Tukianza na Navy Seal hawa ni Elites Army unit ya Marekani Wanao operate Katika Sea, Air na Land (combat) Interview na Mafunzo ya Navy Seal ni Magumu kuliko kikosi chochote cha Jeshi Ulimwenguni ni Vigumu sana kupambana nao wanajua Sana Kutumia Silaha na Kujilinda kwa kutumia miili yao Katika Tukio la Dusit walikuepo Navy Seal

Kuna British Special Air Service (SAS) hawa huwa hawaonekani Hovyo ni moja ya Vikosi bora wakiwa wamebobea katika mambo ya Kupambana na Ugaidi, na Kuokoa Mateka katlka Tukio la Dusit alikuepo mmoja ambaye alifika na Gari yenye namba za Ubalozi Akiwa na Mavazi ya Kulinda Mwili na Silaha na Alipambana na Magaidi Direct Mpaka Waingereza wenyewe wanashangaa kuwaona SAS wakipambana mchana kwani huwa wanapenda sana kufanya shughuli zao usiku.

SAS na Navy Seals ni watu waliondoka bila hata mkwaruzo wowote.


SAS huyu ana Kisu kipo tumboni hapo kinaonekana hapo kwa ajili ya mapambano ya Mkono kwa Mkono ana Pisto ana Hiyo Bunduki inayoitwa Modified Colt Canada Rifle Japo kichwani hana Helment huku akiwa katupia Jeans.
View attachment 997444



Najiuliza Kwenye Nchi zinazoendelea Elites Forces Unit kama hizi huwa zipo? Je ni kutokana na Uonevu wa Alshaabab Nchini Kenya Waliombwa waanzishe makazi yao nchini Kenya?
Umeandika kishabiki sana. Alafu 8nakuaje hizo elites forces ziko bize nchi za watu na si kwao?
 
Umenikumbusha yule mmojawapo kati ya wale wawili wanayekuwa pembeni ya JPM, sio yule mweusi namaanisha yule mzenji, siku moja alimuwekea vidole bosi mmoja maeneo ya mbavu, jamaa akajikuta anakuwa mpole.

Huyo mjomba akamwambia kibosile hapa nikizidisha kupeleka vidole vyangu mbavuni mwako, nakuondoa duniani.

Sasa ndugu Phillipo, ubora wa mwanajeshi unaonekana kwa kutishia kuua raia wa kawaida au kupambana na watu wa aina yako ? Huyu SAS kapambana na wanejeshi wenzako ambao walikuwa wanafanya ugaidi ndiyo maana tukasema ni bora. Sasa huyo Mzenji wetu kaminya mbavu za raia wa kawaida na kutishia kuua halafu wewe unamleta hapa. Kazi kwelikweli.......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa ndugu Phillipo, ubora wa mwanajeshi unaonekana kwa kutishia kuua raia wa kawaidi au kupambana na watu wa aina yako ?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu huwa naheshimu mawazo yako lakini nahisi leo umeandika upuuzi. Hapo hatishii kuua anakwenda kuyaua magaidi, ndio maana yupo full kivita.

Huu uzi sio wa siasa zetu za CCM na CDM, mheshimu aliyeupandisha jukwaani.
 
Correction. SAS huwa ndio unit bora zaid..
Selection ya SAS ni ngumu sana kuliko Navy seals.

SBS(special boat services). Hawa ni pacha wa SAS ila wamebobea kwenye maji.

Huyo unae muona hapo alikuwa off duty, au anaweza kuwa ex-SAS since wanaruhusiwa kustaaf ktk umri mdogo.
Huyu bwana alikuwepo eneo hilo wakati panavamiwa.. si kwamba alitumwa au kenya iliomba msaada hapana.
Ni tukio limemkuta akaamua kutoa msaada since yeye ni expert kwenye counter terrorism.

Sent using Jamii Forums mobile app
Alitoa wapi zigo la siraha kwa haraka kiasi hicho, tena kwa setup ambayo ni tofauti kabisa na askari wote wa Kenya walioonekana kwenye tukio!!! Most likely yuko on duty
 
Mkuu huwa naheshimu mawazo yako lakini nahisi leo umeandika upuuzi. Hapo hatishii kuua anakwenda kuyaua magaidi, ndio maana yupo full kivita.

Huu uzi sio wa siasa zetu za CCM na CDM, mheshimu aliyeupandisha jukwaani.

Wewe umeandika kipumbavu sana hasa uliposifia mtu kufanya hivyo kwa eti boss!! Yaani boss yupo na boss afu unampiga finger? Huu kwako ndio ushujaa? Unatia kinyaa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom