Ni Kitendo cha Nadra sana kuwaona Askari wa Uingereza Special Air Service (SAS) na Navy Seals

Ni Kitendo cha Nadra sana kuwaona Askari wa Uingereza Special Air Service (SAS) na Navy Seals

Huyo SAS yupo kwa ajili ya kuwapa mafunzo Wakenya nao wana kikosi chao cha kujilinda na ugaidi...Na huyo jamaa anatembea kwenye Gari yake akiwa na vifaa alivyovaa wakati wote na alichonishangaza yeye havai element sijui kichwani ila siraha anayokua nayo ni kubwa sana na ana shabaha sana kila risasi inafika kwenye Target yake na amewaokoa wakenya wengi na ndie aliefanya magaidi kwenda kujificha gorofa ya saba maana alikua haogopi kitu anaingia chumba kwa chumba mwenyewe wakenya wakiwa mbali na kutoka nje kuangalia ramani ya jengo...jamaa yupo fit sana aisee..ameiva vizuri kwa kweli..
 
Correction. SAS huwa ndio unit bora zaid..
Selection ya SAS ni ngumu sana kuliko Navy seals.

SBS(special boat services). Hawa ni pacha wa SAS ila wamebobea kwenye maji.

Huyo unae muona hapo alikuwa off duty, au anaweza kuwa ex-SAS since wanaruhusiwa kustaaf ktk umri mdogo.
Huyu bwana alikuwepo eneo hilo wakati panavamiwa.. si kwamba alitumwa au kenya iliomba msaada hapana.
Ni tukio limemkuta akaamua kutoa msaada since yeye ni expert kwenye counter terrorism.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahyo alikuwa akizurura na hzo silaha katika jiji la Nairobi kabla ya tukio? Au unataka uniaminishe kuwa baada ya tukio wanajeshi wa Kenya walimpa hzo silaha kisha akaungana nao kupambana na magaidi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo SAS yupo kwa ajili ya kuwapa mafunzo Wakenya nao wana kikosi chao cha kujilinda na ugaidi...Na huyo jamaa anatembea kwenye Gari yake akiwa na vifaa alivyovaa wakati wote na alichonishangaza yeye havai element sijui kichwani ila siraha anayokua nayo ni kubwa sana na ana shabaha sana kila risasi inafika kwenye Target yake na amewaokoa wakenya wengi na ndie aliefanya magaidi kwenda kujificha gorofa ya saba maana alikua haogopi kitu anaingia chumba kwa chumba mwenyewe wakenya wakiwa mbali na kutoka nje kuangalia ramani ya jengo...jamaa yupo fit sana aisee..ameiva vizuri kwa kweli..
Mzungu ni noma, acha kabisa. Fuatilia watu wa kazi walivyoingia Pakistani na kumuua Osama halafu wakaondoka na mwili wake.

Polisi wanaamka asubuhi wanakuta kila kitu kimeshamalizika. Walitua bila ya rada kuziona ndege zao, na ni bahati mbaya tu ndege yao ilipata ajali ndogo, vinginevyo Osama angeuliwa kutokea juu na sio kutokea chini.
 
Kwahyo alikuwa akizurura na hzo silaha katika jiji la Nairobi kabla ya tukio? Au unataka uniaminishe kuwa baada ya tukio wanajeshi wa Kenya walimpa hzo silaha kisha akaungana nao kupambana na magaidi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, huyo SAS yupo Kenya katika kuwapa mafunzo wanajeshi wazalendo, tukio lilipotokea hakujiuliza mara mbili, akavaa magwanda na kuingia kazini.
 
Nimeuliza kuhusu silaha nisome tena ukipendezwa nijibu

Sent using Jamii Forums mobile app
Unauliza silaha wakati yeye ni mwalimu wa mafunzo?. Anawapa vipi mafunzo wanajeshi pasipo yeye kuwa na zana zote mkononi!!.

Hiyo ni dharura mkuu, hao wanajeshi wazalendo wawe na silaha halafu yeye akose, angeweza hata kuazimwa na mmoja wao.
 
Umenikumbusha yule mmojawapo kati ya wale wawili wanayekuwa pembeni ya JPM, sio yule mweusi namaanisha yule mzenji, siku moja alimuwekea vidole bosi mmoja maeneo ya mbavu, jamaa akajikuta anakuwa mpole.

Huyo mjomba akamwambia kibosile hapa nikizidisha kupeleka vidole vyangu mbavuni mwako, nakuondoa duniani.
Aiseee uko Obsessed na JPM watu wanaongelea mambo ya Special Forces unaleta habari za vidole vipi huyo Kibosile naye alikuwa Special Forces au raia ? Ungeniambia alimtia vidole Navy Seal kidogo ningekuelewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeuliza kuhusu silaha nisome tena ukipendezwa nijibu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mbona mgumu hivyo kuelewa.. umeambiwa alikua anatoa mafunzo kambini. Alipo sikia kunatukio la ugaidi aliunga akaja sehemu ya tukio. Swala la silaha kunamwanajeshi anatoka nchi yake Bila yakubeba silaha.? Mbaya zaid ametoka kambini kwa wanajeshi unafikiri atakosa silaha.? Au ww ulivyoelewa tukio limemkuta alikua chumbani au yupo around apo anapiga gambe.?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu SAS meber alikua nchini kenya kwa ajili ya kutoa mafunzo katika jeshi la kenya,
...Ninyi watu ninyi...!!! Kwa hiyo, shambulio la hivi majuzi ilikuwa 'practical' ya trainees wa jeshi la kenya?
====
Acheni masihara katika matukio ya hatari!
 
Mazee nimejiuliza kwanini Kenya Safari hii imewadhibiti haraka Magaidi Kumbe Kulikua kuna hawa Jamaa wanaotoka katika Most Elite Army Units on Earth

Tukianza na Navy Seal hawa ni Elites Army unit ya Marekani Wanao operate Katika Sea, Air na Land (combat) Interview na Mafunzo ya Navy Seal ni Magumu kuliko kikosi chochote cha Jeshi Ulimwenguni ni Vigumu sana kupambana nao wanajua Sana Kutumia Silaha na Kujilinda kwa kutumia miili yao Katika Tukio la Dusit walikuepo Navy Seal

Kuna British Special Air Service (SAS) hawa huwa hawaonekani Hovyo ni moja ya Vikosi bora wakiwa wamebobea katika mambo ya Kupambana na Ugaidi, na Kuokoa Mateka katlka Tukio la Dusit alikuepo mmoja ambaye alifika na Gari yenye namba za Ubalozi Akiwa na Mavazi ya Kulinda Mwili na Silaha na Alipambana na Magaidi Direct Mpaka Waingereza wenyewe wanashangaa kuwaona SAS wakipambana mchana kwani huwa wanapenda sana kufanya shughuli zao usiku.

SAS na Navy Seals ni watu waliondoka bila hata mkwaruzo wowote.


SAS huyu ana Kisu kipo tumboni hapo kinaonekana hapo kwa ajili ya mapambano ya Mkono kwa Mkono ana Pisto ana Hiyo Bunduki inayoitwa Modified Colt Canada Rifle Japo kichwani hana Helment huku akiwa katupia Jeans.
View attachment 997444



Najiuliza Kwenye Nchi zinazoendelea Elites Forces Unit kama hizi huwa zipo? Je ni kutokana na Uonevu wa Alshaabab Nchini Kenya Waliombwa waanzishe makazi yao nchini Kenya?
Walikuwa wanaendesha training kwa vikosi vya kenya,lilivyotokea hilo tukio wakaombwa,hakua mmoja tu bali walikuwepo wengine.
 
Nchi kam zakwetu huenda kuwa tunazo. Maybe hawana training kama ya wenzetu.
The thing is hiv vikosi ni vya siri sana kias kwamba members wa huko hawajulikani majina yao.

Uwa wanajulikana baadae wakishatoka nje ya jeshi. Kustaaf au kuacha.

Mfano kuna kikos maalum cha polis kutoka kenya kinaitwa GSU(general security unit) a.k.a recce. Hawa jamaa wamekuja kujulikana kwenye tukio la westgate. Hakuna ambae alikuwa akifaham existence yao.

Vikosi vipo. Ila vinafichwa sana kwa usiri mkubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu GSU walikuwa wanajulikana tokea enzi za mzee Kenyatta , ni kikosi madhubuti na hidari sana Africa Mashariki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbwembwe hizi za kusifia zingekuwa na mantiki sana kama kusingekuwepo na ndugu zetu waliopoteza Maisha, vyenginevyo ni mapambio tu
 
Mazee nimejiuliza kwanini Kenya Safari hii imewadhibiti haraka Magaidi Kumbe Kulikua kuna hawa Jamaa wanaotoka katika Most Elite Army Units on Earth

Tukianza na Navy Seal hawa ni Elites Army unit ya Marekani Wanao operate Katika Sea, Air na Land (combat) Interview na Mafunzo ya Navy Seal ni Magumu kuliko kikosi chochote cha Jeshi Ulimwenguni ni Vigumu sana kupambana nao wanajua Sana Kutumia Silaha na Kujilinda kwa kutumia miili yao Katika Tukio la Dusit walikuepo Navy Seal

Kuna British Special Air Service (SAS) hawa huwa hawaonekani Hovyo ni moja ya Vikosi bora wakiwa wamebobea katika mambo ya Kupambana na Ugaidi, na Kuokoa Mateka katlka Tukio la Dusit alikuepo mmoja ambaye alifika na Gari yenye namba za Ubalozi Akiwa na Mavazi ya Kulinda Mwili na Silaha na Alipambana na Magaidi Direct Mpaka Waingereza wenyewe wanashangaa kuwaona SAS wakipambana mchana kwani huwa wanapenda sana kufanya shughuli zao usiku.

SAS na Navy Seals ni watu waliondoka bila hata mkwaruzo wowote.


SAS huyu ana Kisu kipo tumboni hapo kinaonekana hapo kwa ajili ya mapambano ya Mkono kwa Mkono ana Pisto ana Hiyo Bunduki inayoitwa Modified Colt Canada Rifle Japo kichwani hana Helment huku akiwa katupia Jeans.
View attachment 997444



Najiuliza Kwenye Nchi zinazoendelea Elites Forces Unit kama hizi huwa zipo? Je ni kutokana na Uonevu wa Alshaabab Nchini Kenya Waliombwa waanzishe makazi yao nchini Kenya?
Ila mleta mada punguza mahaba!! Eti SAS na SEAL ndiyo vikosi bora ulimwenguni!! Vikosi vya wengine unavijua?? Au series na propaganda za kimarekani zimekupa upofu???
Operesheni nyingi tu za SEAL zimeshindwa, tena huko Somalia, Yemeni ,Afghanistan n.k.
 
Ha ha ha!! Mkuu ati umesema yuko around anapiga gambe?

Ha ha!!
Mkuu mbona mgumu hivyo kuelewa.. umeambiwa alikua anatoa mafunzo kambini. Alipo sikia kunatukio la ugaidi aliunga akaja sehemu ya tukio. Swala la silaha kunamwanajeshi anatoka nchi yake Bila yakubeba silaha.? Mbaya zaid ametoka kambini kwa wanajeshi unafikiri atakosa silaha.? Au ww ulivyoelewa tukio limemkuta alikua chumbani au yupo around apo anapiga gambe.?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ndg GSU bado wapo active mpaka leo sio wakati wa moi tu.

maandamano na vurugu zote wanazofanya wakenya, wanatumwa GSU kwenda kutuliza. hayo ndio majukumu yao makuu.
Hivyo unakubalina nami kuwa hawako undercover kama Detective J anavyotaka kuidanganya hadhara hii yaJF cariha please substantiate this!
 
Aiseee uko Obsessed na JPM watu wanaongelea mambo ya Special Forces unaleta habari za vidole vipi huyo Kibosile naye alikuwa Special Forces au raia ? Ungeniambia alimtia vidole Navy Seal kidogo ningekuelewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekusoma mkuu, kumbe dhambi yangu ni kumtaja huyo mjomba pembeni ya Ngosha. Aisee sitarudia tena kutenda hili kosa.
 
Mzungu ni noma, acha kabisa. Fuatilia watu wa kazi walivyoingia Pakistani na kumuua Osama halafu wakaondoka na mwili wake.

Polisi wanaamka asubuhi wanakuta kila kitu kimeshamalizika. Walitua bila ya rada kuziona ndege zao, na ni bahati mbaya tu ndege yao ilipata ajali ndogo, vinginevyo Osama angeuliwa kutokea juu na sio kutokea chini.
Ule mpango ni ISI ndiyo walichomesha, wamekuja pale ISI wote wanajua. Wao ndiyo waliwatumia hao makomandoo bila ya wao kujijua baada ya kumaliza shida yao na anayetafutwa

Hivi unajua ISI ndiyo wanafanya wamarekani washindwe kumaliza vita kule Afghanistan. Angekuwa ni noma angeshinda mapigano
 
Ule mpango ni ISI ndiyo walichomesha, wamekuja pale ISI wote wanajua. Wao ndiyo waliwatumia hao makomandoo bila ya wao kujijua baada ya kumaliza shida yao na anayetafutwa

Hivi unajua ISI ndiyo wanafanya wamarekani washindwe kumaliza vita kule Afghanistan. Angekuwa ni noma angeshinda mapigano
Mkuu kumbuka kuwa yule aliyekuwa akiishi na Osama aliweza kudukuliwa na CIA, mpaka wakamvuta kwenye satellite ikawa rahisi kujua anaishi nyumba gani. Baada ya hapo kazi ikawa imekwisha. Mzungu akiamua kukufungia kazi ni ngumu kuchomoka.

Unajua wametumia pesa kiasi gani tangu waanze kumuwinda Osama?.
 
Nchi kam zakwetu huenda kuwa tunazo. Maybe hawana training kama ya wenzetu.
The thing is hiv vikosi ni vya siri sana kias kwamba members wa huko hawajulikani majina yao.

Uwa wanajulikana baadae wakishatoka nje ya jeshi. Kustaaf au kuacha.

Mfano kuna kikos maalum cha polis kutoka kenya kinaitwa GSU(general security unit) a.k.a recce. Hawa jamaa wamekuja kujulikana kwenye tukio la westgate. Hakuna ambae alikuwa akifaham existence yao.

Vikosi vipo. Ila vinafichwa sana kwa usiri mkubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hapo umechanganya mambo GSU Kenya ni sawa sawa na FFU Tanzania na ndio sababu wanaitwa General Security Unit

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom