Ni Kitendo cha Nadra sana kuwaona Askari wa Uingereza Special Air Service (SAS) na Navy Seals

Ni Kitendo cha Nadra sana kuwaona Askari wa Uingereza Special Air Service (SAS) na Navy Seals

ISI walikuwa wakimlinda ndio. Lakin walifanya kosa kubwa sana siku hiyo.. ilifanyia chanjo ambayo iliweza ku idetfy kuwa moja ya watu wa karib wa osama yuko karib na hapo. .. ndipo c.i.a ilifuatilia location and kama bahat na osama na yeye alikuwemo kwenye ile nyumba.
Sasa nikwambie hivi waliyokuwa wanamlinda ni huyo jamaa ni ISI walipoona hana shida ndiyo wakaunguza picha hawakujua wenyewe kupitia hizo mbinu.

Ujasusi waache ISI kama walivyo, mmarekani aliletwa hakuja mwenyewe nyingine ni porojo zao tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mazee nimejiuliza kwanini Kenya Safari hii imewadhibiti haraka Magaidi Kumbe Kulikua kuna hawa Jamaa wanaotoka katika Most Elite Army Units on Earth

Tukianza na Navy Seal hawa ni Elites Army unit ya Marekani Wanao operate Katika Sea, Air na Land (combat) Interview na Mafunzo ya Navy Seal ni Magumu kuliko kikosi chochote cha Jeshi Ulimwenguni ni Vigumu sana kupambana nao wanajua Sana Kutumia Silaha na Kujilinda kwa kutumia miili yao Katika Tukio la Dusit walikuepo Navy Seal

Kuna British Special Air Service (SAS) hawa huwa hawaonekani Hovyo ni moja ya Vikosi bora wakiwa wamebobea katika mambo ya Kupambana na Ugaidi, na Kuokoa Mateka katlka Tukio la Dusit alikuepo mmoja ambaye alifika na Gari yenye namba za Ubalozi Akiwa na Mavazi ya Kulinda Mwili na Silaha na Alipambana na Magaidi Direct Mpaka Waingereza wenyewe wanashangaa kuwaona SAS wakipambana mchana kwani huwa wanapenda sana kufanya shughuli zao usiku.

SAS na Navy Seals ni watu waliondoka bila hata mkwaruzo wowote.


SAS huyu ana Kisu kipo tumboni hapo kinaonekana hapo kwa ajili ya mapambano ya Mkono kwa Mkono ana Pisto ana Hiyo Bunduki inayoitwa Modified Colt Canada Rifle Japo kichwani hana Helment huku akiwa katupia Jeans.
View attachment 997444



Najiuliza Kwenye Nchi zinazoendelea Elites Forces Unit kama hizi huwa zipo? Je ni kutokana na Uonevu wa Alshaabab Nchini Kenya Waliombwa waanzishe makazi yao nchini Kenya?
Huyu ukikumbana naye ana kwa ana wala hapotezi risasi. Bisu tu tosha, unabaki ukikoroma.
 
SEAL hawako fit kiivyo. Ila SAS wako vizur.
Delta force ambao huwa wanafanya kazi kwa siri.. sometimes C.I.A huwaajiri kwa muda under SAD, kama CAG operators.
Delta force waasis wake ni SAS, new zealand SAS NZSAS, Australia.. majesh mengi europe uasis umeanza kutoka SAS. Na baadhi ya nchi za asia.
Ila mleta mada punguza mahaba!! Eti SAS na SEAL ndiyo vikosi bora ulimwenguni!! Vikosi vya wengine unavijua?? Au series na propaganda za kimarekani zimekupa upofu???
Operesheni nyingi tu za SEAL zimeshindwa, tena huko Somalia, Yemeni ,Afghanistan n.k.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyenzo si kigezo. Kama angekuwa ameagizwa kwa kujua kuwa kutatokea tukio angekuwa in full gear. Full gear means ungeona head gear combact.. ikiwa imejaa kila kitu.
Sema nayo inategemea na mazingira.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo SAS alikuwa yuko kikazi nchini Kenya. Anatoa mafunzo. Siku ya tukio alikuwa mjini kwenye msele yake ila kwenye gari alikuwa na zana zake zote. Akavaa akawahi eneo la tukio.
 
Correction. SAS huwa ndio unit bora zaid..
Selection ya SAS ni ngumu sana kuliko Navy seals.

SBS(special boat services). Hawa ni pacha wa SAS ila wamebobea kwenye maji.

Huyo unae muona hapo alikuwa off duty, au anaweza kuwa ex-SAS since wanaruhusiwa kustaaf ktk umri mdogo.
Huyu bwana alikuwepo eneo hilo wakati panavamiwa.. si kwamba alitumwa au kenya iliomba msaada hapana.
Ni tukio limemkuta akaamua kutoa msaada since yeye ni expert kwenye counter terrorism.

Sent using Jamii Forums mobile app
Alikutwa akiwa eneo la tukio akiwa tayari amevalia kimapambano?
 
Kwahyo alikuwa akizurura na hzo silaha katika jiji la Nairobi kabla ya tukio? Au unataka uniaminishe kuwa baada ya tukio wanajeshi wa Kenya walimpa hzo silaha kisha akaungana nao kupambana na magaidi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa alikuwa na mzigo wote kwenye gari. Aliposikia hilo tukio akavaa akaenda kusaidia.
 
Correction. SAS huwa ndio unit bora zaid..
Selection ya SAS ni ngumu sana kuliko Navy seals.

SBS(special boat services). Hawa ni pacha wa SAS ila wamebobea kwenye maji.

Huyo unae muona hapo alikuwa off duty, au anaweza kuwa ex-SAS since wanaruhusiwa kustaaf ktk umri mdogo.
Huyu bwana alikuwepo eneo hilo wakati panavamiwa.. si kwamba alitumwa au kenya iliomba msaada hapana.
Ni tukio limemkuta akaamua kutoa msaada since yeye ni expert kwenye counter terrorism.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kama akutumwa izo sare kazitoa wapi na hapo anapewa maelekezo na mtu aliyevaa bracelet ya bendera ya Kenya,je unataka kusema awajuani mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nchi kam zakwetu huenda kuwa tunazo. Maybe hawana training kama ya wenzetu.
The thing is hiv vikosi ni vya siri sana kias kwamba members wa huko hawajulikani majina yao.

Uwa wanajulikana baadae wakishatoka nje ya jeshi. Kustaaf au kuacha.

Mfano kuna kikos maalum cha polis kutoka kenya kinaitwa GSU(general security unit) a.k.a recce. Hawa jamaa wamekuja kujulikana kwenye tukio la westgate. Hakuna ambae alikuwa akifaham existence yao.

Vikosi vipo. Ila vinafichwa sana kwa usiri mkubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wanafichwa awazaliani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nchi kam zakwetu huenda kuwa tunazo. Maybe hawana training kama ya wenzetu.
The thing is hiv vikosi ni vya siri sana kias kwamba members wa huko hawajulikani majina yao.

Uwa wanajulikana baadae wakishatoka nje ya jeshi. Kustaaf au kuacha.

Mfano kuna kikos maalum cha polis kutoka kenya kinaitwa GSU(general security unit) a.k.a recce. Hawa jamaa wamekuja kujulikana kwenye tukio la westgate. Hakuna ambae alikuwa akifaham existence yao.

Vikosi vipo. Ila vinafichwa sana kwa usiri mkubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Mmmmh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umenikumbusha yule mmojawapo kati ya wale wawili wanayekuwa pembeni ya JPM, sio yule mweusi namaanisha yule mzenji, siku moja alimuwekea vidole bosi mmoja maeneo ya mbavu, jamaa akajikuta anakuwa mpole.

Huyo mjomba akamwambia kibosile hapa nikizidisha kupeleka vidole vyangu mbavuni mwako, nakuondoa duniani.
Wale jamaa pia SAS?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ubalozin huwa kuna kila kitu. Tactical gia na silaha.
Rember tofauti na vikos vingine ex- SAS member huitwa kusaida wakat wa hatari..
So ni ishu ya sim na kuletewa vifaa vya kaz
Sasa kama akutumwa izo sare kazitoa wapi na hapo anapewa maelekezo na mtu aliyevaa bracelet ya bendera ya Kenya,je unataka kusema awajuani mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa ndugu Phillipo, ubora wa mwanajeshi unaonekana kwa kutishia kuua raia wa kawaidi au kupambana na watu wa aina yako ? Huyu SAS kapambana na wanejeshi wenzako ambao walikuwa wanafanya ugaidi ndiyo maana tukasema ni bora. Sasa huyo Mzenji wetu kaminya mbavu za raia wa kawaida na kutishia kuua halafu wewe unamleta hapa. Kazi kwelikweli.......

Sent using Jamii Forums mobile app
Kesho wakivunja tutofali vya udongo pale taifa full shangwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom