Correction. SAS huwa ndio unit bora zaid..
Selection ya SAS ni ngumu sana kuliko Navy seals.
SBS(special boat services). Hawa ni pacha wa SAS ila wamebobea kwenye maji.
Huyo unae muona hapo alikuwa off duty, au anaweza kuwa ex-SAS since wanaruhusiwa kustaaf ktk umri mdogo.
Huyu bwana alikuwepo eneo hilo wakati panavamiwa.. si kwamba alitumwa au kenya iliomba msaada hapana.
Ni tukio limemkuta akaamua kutoa msaada since yeye ni expert kwenye counter terrorism.
Sent using Jamii Forums mobile app
Namuruk natambua the unit was started 1953, moi anashika madaraka was 1978 to 2002.Naongea kitu najua ila kama siku hizi, hata shemeji yangu alikuwa member wa GSU
Mkuu mbona huyu jamaa hajakaa ki off duty off duty? Naangalia nyenzo zake si za ki off duty…
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyenzo si kigezo. Kama angekuwa ameagizwa kwa kujua kuwa kutatokea tukio angekuwa in full gear. Full gear means ungeona head gear combact.. ikiwa imejaa kila kitu.
Sema nayo inategemea na mazingira.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee hiyo ni gear ya SAS hayuko full hajavaa kofia ya chumaOk si hizo gear aliazima kwa askari wa kenya? Ama akiwa off duty anatembea nazo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee hiyo ni gear ya SAS hayuko full hajavaa kofia ya chuma
Umeandika kishabiki sana. Alafu 8nakuaje hizo elites forces ziko bize nchi za watu na si kwao?Mazee nimejiuliza kwanini Kenya Safari hii imewadhibiti haraka Magaidi Kumbe Kulikua kuna hawa Jamaa wanaotoka katika Most Elite Army Units on Earth
Tukianza na Navy Seal hawa ni Elites Army unit ya Marekani Wanao operate Katika Sea, Air na Land (combat) Interview na Mafunzo ya Navy Seal ni Magumu kuliko kikosi chochote cha Jeshi Ulimwenguni ni Vigumu sana kupambana nao wanajua Sana Kutumia Silaha na Kujilinda kwa kutumia miili yao Katika Tukio la Dusit walikuepo Navy Seal
Kuna British Special Air Service (SAS) hawa huwa hawaonekani Hovyo ni moja ya Vikosi bora wakiwa wamebobea katika mambo ya Kupambana na Ugaidi, na Kuokoa Mateka katlka Tukio la Dusit alikuepo mmoja ambaye alifika na Gari yenye namba za Ubalozi Akiwa na Mavazi ya Kulinda Mwili na Silaha na Alipambana na Magaidi Direct Mpaka Waingereza wenyewe wanashangaa kuwaona SAS wakipambana mchana kwani huwa wanapenda sana kufanya shughuli zao usiku.
SAS na Navy Seals ni watu waliondoka bila hata mkwaruzo wowote.
SAS huyu ana Kisu kipo tumboni hapo kinaonekana hapo kwa ajili ya mapambano ya Mkono kwa Mkono ana Pisto ana Hiyo Bunduki inayoitwa Modified Colt Canada Rifle Japo kichwani hana Helment huku akiwa katupia Jeans.
View attachment 997444
Najiuliza Kwenye Nchi zinazoendelea Elites Forces Unit kama hizi huwa zipo? Je ni kutokana na Uonevu wa Alshaabab Nchini Kenya Waliombwa waanzishe makazi yao nchini Kenya?
Alikuwa akitoa mafunzo hao wala mirungi walipoibuka ikabidi aingie mzigoni upesi sana.Mkuu mbona huyu jamaa hajakaa ki off duty off duty? Naangalia nyenzo zake si za ki off duty…
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenikumbusha yule mmojawapo kati ya wale wawili wanayekuwa pembeni ya JPM, sio yule mweusi namaanisha yule mzenji, siku moja alimuwekea vidole bosi mmoja maeneo ya mbavu, jamaa akajikuta anakuwa mpole.
Huyo mjomba akamwambia kibosile hapa nikizidisha kupeleka vidole vyangu mbavuni mwako, nakuondoa duniani.
Mkuu huwa naheshimu mawazo yako lakini nahisi leo umeandika upuuzi. Hapo hatishii kuua anakwenda kuyaua magaidi, ndio maana yupo full kivita.Sasa ndugu Phillipo, ubora wa mwanajeshi unaonekana kwa kutishia kuua raia wa kawaidi au kupambana na watu wa aina yako ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Check Operation Baras (SAS) hawaNimekusoma. Namaanisha hayo mavazi na hiyo mashine na pistol na kisu alikuwa anatemmbea navyo akiwa off duty?
Sent using Jamii Forums mobile app
Alitoa wapi zigo la siraha kwa haraka kiasi hicho, tena kwa setup ambayo ni tofauti kabisa na askari wote wa Kenya walioonekana kwenye tukio!!! Most likely yuko on dutyCorrection. SAS huwa ndio unit bora zaid..
Selection ya SAS ni ngumu sana kuliko Navy seals.
SBS(special boat services). Hawa ni pacha wa SAS ila wamebobea kwenye maji.
Huyo unae muona hapo alikuwa off duty, au anaweza kuwa ex-SAS since wanaruhusiwa kustaaf ktk umri mdogo.
Huyu bwana alikuwepo eneo hilo wakati panavamiwa.. si kwamba alitumwa au kenya iliomba msaada hapana.
Ni tukio limemkuta akaamua kutoa msaada since yeye ni expert kwenye counter terrorism.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu huwa naheshimu mawazo yako lakini nahisi leo umeandika upuuzi. Hapo hatishii kuua anakwenda kuyaua magaidi, ndio maana yupo full kivita.
Huu uzi sio wa siasa zetu za CCM na CDM, mheshimu aliyeupandisha jukwaani.