Ni Kitendo cha Nadra sana kuwaona Askari wa Uingereza Special Air Service (SAS) na Navy Seals

GSU inafahamika sana Kenya toka miaka ya 90ni kama FFU hapa bongo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vifo 21+ bado mnawasifia! Kenya iongeze nguvu kwenye intelijensia ya nchi haya matukio yakome bila kupoteza maisha sio kusifia upuuuzi kisa tu mzungu kafanya
 
Mkuu huwa naheshimu mawazo yako lakini nahisi leo umeandika upuuzi. Hapo hatishii kuua anakwenda kuyaua magaidi, ndio maana yupo full kivita.

Huu uzi sio wa siasa zetu za CCM na CDM, mheshimu aliyeupandisha jukwaani.
Hujielewi na wala hujamuelewa malcom

Hivi shule ulipelekwa kujaza taka kichwani au

Amekuelimisha kazi ya walinzi sio kubinya watu mbavu wewe unakasirika

Certified Idiot
 
Mkuu sijakuelewa unamaanisha nini!. Uzi unahusiana na huyo SAS member wewe unakuja na habari zisizo na kichwa wala miguu!.

Au ndio yale madhara ya Makonda kuruhusu watu wapige kinywani 24/7?.
Wewe ndio Tahira uliyeanza kuandika habari za mzenji mlinzi

Madhara ya kuzaliwa kwa bahati mbaya ndio akili Kama zako
 
huku kwetu kukundi kama hicho kinaitwa WASIOJULIKANA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inatokea mkuu. Lakin inategemea na muundo wa serikali yenyewe.
Kwa mfano USA ..CIA ina secret branches... ama vitengo vidogo vilovyoko chini yake. Hiv vitengo ni vya siri sana.. na hata budget yake huitwa black budget only members DOJ wanajua jamaa wanapokea kias gani.
Hiv vikos ni siri.. rais anaweza kuvisikia lakin hata aisijue members wake ni akina nani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwa miaka mingi sasa Kenya kuna millitary base za uingereza, ila kwa kutokujua au kubisha kwa makusudi wakenya wanabisha nchi yao haina tofauti sana na koloni la uingereza, uchumi mkubwa wa kenya upo owned na ulaya kwa hiyo kwao siyo hasara kuilinda kenya kwa gharama yeyote ili kiukweli kulinda masilahi yao na si ya makwabwela wa kenya. TUMWOMBENI MUNGU SANA KWA HILI TUPO HURU
 
Good basi alikuwa at right place at a right time. Nawa admire SAS. Tough straight. Hawana muda wa video kama navy seals.
Correction huyu jamaa ni mmoja wa ma trainer waliopo Kenya. Hapa UK kaitwa Hero kwenye vyombo vya habari na wameweka sababu ya yeye kuwepo katika hiyo operation

Sent using Jamii Forums mobile app
 
JSOC sio kikosi bali ni command. Joint special operation command. Hawa jamaa ndio wako reponsible kupanga mission,execute, training for all special forces unit.
Under JSOC command.. amri zinatolewa kwa vikosi kama navy seal , delta force, amry green beret

Sent using Jamii Forums mobile app
 
... nakubaliana na wewe! Kama lile lililong'ata konda kule Tunduma liko vizuri mno maana linatumia silaha "zote".
 
...Ninyi watu ninyi...!!! Kwa hiyo, shambulio la hivi majuzi ilikuwa 'practical' ya trainees wa jeshi la kenya?
====
Acheni masihara katika matukio ya hatari!
hujaelewa nini sasa, Member wa SAS alikua akitoa mafunzo katika jeshi la kenya wakati tukio linatokea, so akaamua kwenda kusaidia. Hope umeelewa
 
Huyo SAS alikuwa yuko kikazi nchini Kenya. Anatoa mafunzo. Siku ya tukio alikuwa mjini kwenye msele yake ila kwenye gari alikuwa na zana zake zote. Akavaa akawahi eneo la tukio.
... kuna majamaa hayaogopi risasi aisee! Jamaa aka-cancel plan zake zote za siku hiyo na kuwahi eneo la tukio; yuko fit balaa! Ingekuwa wale wa kwetu waliomng'ata konda wangekufa kwa kihoro papo hapo na mavitambi yao utafikiri wajawazito!
 
Ubalozin huwa kuna kila kitu. Tactical gia na silaha.
Rember tofauti na vikos vingine ex- SAS member huitwa kusaida wakat wa hatari..
So ni ishu ya sim na kuletewa vifaa vya kaz

Sent using Jamii Forums mobile app
... neno ubalozi likitajwa namkumbuka Khashogi! Balozi za Saudia zinakuwaga na visu maalum vya kuwachinjia wabaya wao na viroba vya kuhifadhi nyama baada ya kuwacharanga.
 
Rais cheo chake ni cha muda mfupi sana while usalama wa nchi is everlasting! Kila mtu ana tabia yake; mkikutana na mropokaji anaweza hata kutoa siri kwa kujua au kutokujua; akiwa madarakani au baada ya kustaafu. So, ni sahihi wasijue.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…