Ni kitu gani ambacho hupendi kukifanya katika maisha yetu ya kila siku lakini unafanya kwakuwa huna namna

Huhuuuuuuuuuuu...love connected πŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žwoooooozaaaaaaaahπŸ§šβ€β™€οΈπŸ§šβ€β™€οΈπŸ§šβ€β™€οΈπŸ§šβ€β™€οΈπŸ§šβ€β™€οΈ
 
Utukufu mkubwa mno[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naenda kuolewa mimi [emoji7][emoji847][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji3]
Uzi wangu una Baraka πŸ˜…πŸ˜…ukatuwakilishe vizuri sasa na wewe lohπŸ˜…πŸ˜…
 
Haki tuko tofauti kho...

Hongera tubadilishane basi
 
Kwa imani napokea, vyote tulivyo navyo, vinatoka kwake. Kuwasaidia wengine ni kama kutoa sehem ya tulichopewa.

Mwisho wa siku tutaondoka bila kitu, tutaacha kila kitu hapa hapa.
Kuna kitu najiona ndani ya mwandiko wako na ndani yako mkuu..🀝🀝🀝🀝
 
He hata mimi napenda mazingira ya ukimya na kukaa peke yangu lkni wewe umenishinda kwa tabiaπŸ™Œ
 
[emoji847][emoji847][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…