miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
ha ha haSimu yangu ya kwanza kumiliki ilikuwa Alkatel, siku tatu za mwanzo sikuwahi kuiona iki vibrate.
The other day nilikuwa naendesha baiskeli simu nikatumbukiza kwenye back pack, sijui ilijibonyeza vipi ikaita kwa vibration, kitu ambacho nilikuwa sijakitegemea kabisa.
Nikajua ntakuwa nimebeba panya au snake kabisa. Niliruka kama ninja baiskeli ikadondokea chaka lingine mimi kwenye vumbi, begi nalo nimetupia mbali kabisa..
Nikatafuta bonge la fimbo nikaanza kutoa kichapo kwa lile begi hadi niliporidhika chochote kilichomo kitakuwa kimeshakufa.
Kuja kufungua begi duuh!! simu haifai. Nilitamani kwenda kujishtaki polisi mwenyewe
We jamaa hufai nacheka hadi watu wanajishtukiaSimu yangu ya kwanza kumiliki ilikuwa Alkatel, siku tatu za mwanzo sikuwahi kuiona iki vibrate.
The other day nilikuwa naendesha baiskeli simu nikatumbukiza kwenye back pack, sijui ilijibonyeza vipi ikaita kwa vibration, kitu ambacho nilikuwa sijakitegemea kabisa.
Nikajua ntakuwa nimebeba panya au snake kabisa. Niliruka kama ninja baiskeli ikadondokea chaka lingine mimi kwenye vumbi, begi nalo nimetupia mbali kabisa..
Nikatafuta bonge la fimbo nikaanza kutoa kichapo kwa lile begi hadi niliporidhika chochote kilichomo kitakuwa kimeshakufa.
Kuja kufungua begi duuh!! simu haifai. Nilitamani kwenda kujishtaki polisi mwenyewe
Shukrani kwa kunichekesha jioni hiiIle milango inayofunguka automatically ilipelekea nikang'oka meno yangu mawili ya mbele!
Sitosahau hata siku moja kwa sababu nilikumbana na aibu kubwa sana na maumivu ya kung'oka meno yangu!
Nakuona mzee kama Michael dudikoff sijui nani yuleSimu yangu ya kwanza kumiliki ilikuwa Alkatel, siku tatu za mwanzo sikuwahi kuiona iki vibrate.
The other day nilikuwa naendesha baiskeli simu nikatumbukiza kwenye back pack, sijui ilijibonyeza vipi ikaita kwa vibration, kitu ambacho nilikuwa sijakitegemea kabisa.
Nikajua ntakuwa nimebeba panya au snake kabisa. Niliruka kama ninja baiskeli ikadondokea chaka lingine mimi kwenye vumbi, begi nalo nimetupia mbali kabisa..
Nikatafuta bonge la fimbo nikaanza kutoa kichapo kwa lile begi hadi niliporidhika chochote kilichomo kitakuwa kimeshakufa.
Kuja kufungua begi duuh!! simu haifai. Nilitamani kwenda kujishtaki polisi mwenyewe
Jamani mtaua mbavu zangu.Niliwahi kwenda hotelini na mama mwaka 1985 mwambao mwaka ziwa Tanganyika,baada ya kumaliza kula nikaanza kutoa vyombo. Mama akaangalia kushoto na kulia kisha akanizaba kofi na kusema sio jukumu langu zaidi ya kula na kulipa na kuondoka [emoji23][emoji23][emoji23]
HahahahaaaaNiliwahi kwenda hotelini na mama mwaka 1985 mwambao mwaka ziwa Tanganyika,baada ya kumaliza kula nikaanza kutoa vyombo. Mama akaangalia kushoto na kulia kisha akanizaba kofi na kusema sio jukumu langu zaidi ya kula na kulipa na kuondoka [emoji23][emoji23][emoji23]
Nimeharibu wapi mkuu?bd cjapima lkn inawezekana naumwa nyege!Acha kuharibu majina ya watu bana. Kujamba ujambe wewe majina utaje ya wengine!! Unaumwa...!!!
Hahahahhhahaa nimecheka mno aiseeeSimu yangu ya kwanza kumiliki ilikuwa Alkatel, siku tatu za mwanzo sikuwahi kuiona iki vibrate.
The other day nilikuwa naendesha baiskeli simu nikatumbukiza kwenye back pack, sijui ilijibonyeza vipi ikaita kwa vibration, kitu ambacho nilikuwa sijakitegemea kabisa.
Nikajua ntakuwa nimebeba panya au snake kabisa. Niliruka kama ninja baiskeli ikadondokea chaka lingine mimi kwenye vumbi, begi nalo nimetupia mbali kabisa..
Nikatafuta bonge la fimbo nikaanza kutoa kichapo kwa lile begi hadi niliporidhika chochote kilichomo kitakuwa kimeshakufa.
Kuja kufungua begi duuh!! simu haifai. Nilitamani kwenda kujishtaki polisi mwenyewe
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Niliwahi kwenda hotelini na mama mwaka 1985 mwambao mwaka ziwa Tanganyika,baada ya kumaliza kula nikaanza kutoa vyombo. Mama akaangalia kushoto na kulia kisha akanizaba kofi na kusema sio jukumu langu zaidi ya kula na kulipa na kuondoka [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji28] [emoji23] [emoji23]Haaha sign ya karate wapi Nalendwa nilitua kama gunia nikalioga vumbi. Na vumbi la Mbeya huwa sio la kisport
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Umenikumbusha hii kitu aisee, nami smartphone ilinitoa ushamba kipindi hicho ndio zimeingia ingia, sijui ilikua nokia n ngapi vile!!! Kama siku 4sikupokea simu kila ikiita nashindwa kuipokea maana mpaka uislide button ndio ipokeleke, sasa ikiita kila nikibonyeza haipokeleki, kuuliza naona aibu alafu pia nashindwa wa kumuuliza maana wengi hawakuwa nazo, nakumbuka niliulizia watu kama wawili wakawa hawajui. Basi siku hiyo akili ikanijia ikabidi nisome manual ndio nikaelewa. Daah nilivyoweza haki nilijichekaaa.
Hiyo angevua suruali na kuitupa.
Hahhaha hiyo kwereee mzeeSitosahau siku ya kwanza nimeenda ugenini nikapewa chai na tea bags, eti nikafungua ka bag kamoja nikamimina majani ili wengine waje kumimina yao hahahahhaa
😀😀
aisee.. Hatari sana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji108]Simu yangu ya kwanza kumiliki ilikuwa Alkatel, siku tatu za mwanzo sikuwahi kuiona iki vibrate.
The other day nilikuwa naendesha baiskeli simu nikatumbukiza kwenye back pack, sijui ilijibonyeza vipi ikaita kwa vibration, kitu ambacho nilikuwa sijakitegemea kabisa.
Nikajua ntakuwa nimebeba panya au snake kabisa. Niliruka kama ninja baiskeli ikadondokea chaka lingine mimi kwenye vumbi, begi nalo nimetupia mbali kabisa..
Nikatafuta bonge la fimbo nikaanza kutoa kichapo kwa lile begi hadi niliporidhika chochote kilichomo kitakuwa kimeshakufa.
Kuja kufungua begi duuh!! simu haifai. Nilitamani kwenda kujishtaki polisi mwenyewe
Pole sana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Umenikumbusha hii kitu aisee, nami smartphone ilinitoa ushamba kipindi hicho ndio zimeingia ingia, sijui ilikua nokia n ngapi vile!!! Kama siku 4sikupokea simu kila ikiita nashindwa kuipokea maana mpaka uislide button ndio ipokeleke, sasa ikiita kila nikibonyeza haipokeleki, kuuliza naona aibu alafu pia nashindwa wa kumuuliza maana wengi hawakuwa nazo, nakumbuka niliulizia watu kama wawili wakawa hawajui. Basi siku hiyo akili ikanijia ikabidi nisome manual ndio nikaelewa. Daah nilivyoweza haki nilijichekaaa.
AK47 ilinitoa ushamba sana mbaya zaidi ilikuwa ni usiku sana
hehehehehe... Umenichekesha sana mkuuNiliwahi kwenda hotelini na mama mwaka 1985 mwambao mwaka ziwa Tanganyika,baada ya kumaliza kula nikaanza kutoa vyombo. Mama akaangalia kushoto na kulia kisha akanizaba kofi na kusema sio jukumu langu zaidi ya kula na kulipa na kuondoka [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahahahahahahahahaha..natamani ningekuona ulivyokuwa umepanicSimu yangu ya kwanza kumiliki ilikuwa Alkatel, siku tatu za mwanzo sikuwahi kuiona iki vibrate.
The other day nilikuwa naendesha baiskeli simu nikatumbukiza kwenye back pack, sijui ilijibonyeza vipi ikaita kwa vibration, kitu ambacho nilikuwa sijakitegemea kabisa.
Nikajua ntakuwa nimebeba panya au snake kabisa. Niliruka kama ninja baiskeli ikadondokea chaka lingine mimi kwenye vumbi, begi nalo nimetupia mbali kabisa..
Nikatafuta bonge la fimbo nikaanza kutoa kichapo kwa lile begi hadi niliporidhika chochote kilichomo kitakuwa kimeshakufa.
Kuja kufungua begi duuh!! simu haifai. Nilitamani kwenda kujishtaki polisi mwenyewe