Ni kitu gani ambacho kiliwahi kukutoa ushamba?

Ni kitu gani ambacho kiliwahi kukutoa ushamba?

Simu yangu ya kwanza kumiliki ilikuwa Alkatel, siku tatu za mwanzo sikuwahi kuiona iki vibrate.
The other day nilikuwa naendesha baiskeli simu nikatumbukiza kwenye back pack, sijui ilijibonyeza vipi ikaita kwa vibration, kitu ambacho nilikuwa sijakitegemea kabisa.
Nikajua ntakuwa nimebeba panya au snake kabisa. Niliruka kama ninja baiskeli ikadondokea chaka lingine mimi kwenye vumbi, begi nalo nimetupia mbali kabisa..
Nikatafuta bonge la fimbo nikaanza kutoa kichapo kwa lile begi hadi niliporidhika chochote kilichomo kitakuwa kimeshakufa.
Kuja kufungua begi duuh!! simu haifai. Nilitamani kwenda kujishtaki polisi mwenyewe
ha ha ha
 
Simu yangu ya kwanza kumiliki ilikuwa Alkatel, siku tatu za mwanzo sikuwahi kuiona iki vibrate.
The other day nilikuwa naendesha baiskeli simu nikatumbukiza kwenye back pack, sijui ilijibonyeza vipi ikaita kwa vibration, kitu ambacho nilikuwa sijakitegemea kabisa.
Nikajua ntakuwa nimebeba panya au snake kabisa. Niliruka kama ninja baiskeli ikadondokea chaka lingine mimi kwenye vumbi, begi nalo nimetupia mbali kabisa..
Nikatafuta bonge la fimbo nikaanza kutoa kichapo kwa lile begi hadi niliporidhika chochote kilichomo kitakuwa kimeshakufa.
Kuja kufungua begi duuh!! simu haifai. Nilitamani kwenda kujishtaki polisi mwenyewe
We jamaa hufai nacheka hadi watu wanajishtukia
 
Ile milango inayofunguka automatically ilipelekea nikang'oka meno yangu mawili ya mbele!

Sitosahau hata siku moja kwa sababu nilikumbana na aibu kubwa sana na maumivu ya kung'oka meno yangu!
Shukrani kwa kunichekesha jioni hii
 
baba alinipeleka hoteleni nikachagua menu fresh chips mayai nakumuambia muhudumu kwa mbwembwe naomba kisu na uma.. nilikuwa nadondosha kisu mara uma mdingi ananiangalia tu naletewa kingine nadondosha alininyanyua kanawe mikono ule na mikono aisee niliona chips mayai kama ugali wa maharage aibu.. ila ikawa adhabu kila siku home nakula na uma na kisu hata wali mpaka nikaweza kidogo
 
Simu yangu ya kwanza kumiliki ilikuwa Alkatel, siku tatu za mwanzo sikuwahi kuiona iki vibrate.
The other day nilikuwa naendesha baiskeli simu nikatumbukiza kwenye back pack, sijui ilijibonyeza vipi ikaita kwa vibration, kitu ambacho nilikuwa sijakitegemea kabisa.
Nikajua ntakuwa nimebeba panya au snake kabisa. Niliruka kama ninja baiskeli ikadondokea chaka lingine mimi kwenye vumbi, begi nalo nimetupia mbali kabisa..
Nikatafuta bonge la fimbo nikaanza kutoa kichapo kwa lile begi hadi niliporidhika chochote kilichomo kitakuwa kimeshakufa.
Kuja kufungua begi duuh!! simu haifai. Nilitamani kwenda kujishtaki polisi mwenyewe
Nakuona mzee kama Michael dudikoff sijui nani yule
 
Niliwahi kwenda hotelini na mama mwaka 1985 mwambao mwaka ziwa Tanganyika,baada ya kumaliza kula nikaanza kutoa vyombo. Mama akaangalia kushoto na kulia kisha akanizaba kofi na kusema sio jukumu langu zaidi ya kula na kulipa na kuondoka [emoji23][emoji23][emoji23]
Jamani mtaua mbavu zangu.
 
Niliwahi kwenda hotelini na mama mwaka 1985 mwambao mwaka ziwa Tanganyika,baada ya kumaliza kula nikaanza kutoa vyombo. Mama akaangalia kushoto na kulia kisha akanizaba kofi na kusema sio jukumu langu zaidi ya kula na kulipa na kuondoka [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahaaaa
 
Simu yangu ya kwanza kumiliki ilikuwa Alkatel, siku tatu za mwanzo sikuwahi kuiona iki vibrate.
The other day nilikuwa naendesha baiskeli simu nikatumbukiza kwenye back pack, sijui ilijibonyeza vipi ikaita kwa vibration, kitu ambacho nilikuwa sijakitegemea kabisa.
Nikajua ntakuwa nimebeba panya au snake kabisa. Niliruka kama ninja baiskeli ikadondokea chaka lingine mimi kwenye vumbi, begi nalo nimetupia mbali kabisa..
Nikatafuta bonge la fimbo nikaanza kutoa kichapo kwa lile begi hadi niliporidhika chochote kilichomo kitakuwa kimeshakufa.
Kuja kufungua begi duuh!! simu haifai. Nilitamani kwenda kujishtaki polisi mwenyewe
Hahahahhhahaa nimecheka mno aiseee
 
Niliwahi kwenda hotelini na mama mwaka 1985 mwambao mwaka ziwa Tanganyika,baada ya kumaliza kula nikaanza kutoa vyombo. Mama akaangalia kushoto na kulia kisha akanizaba kofi na kusema sio jukumu langu zaidi ya kula na kulipa na kuondoka [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Umenikumbusha hii kitu aisee, nami smartphone ilinitoa ushamba kipindi hicho ndio zimeingia ingia, sijui ilikua nokia n ngapi vile!!! Kama siku 4sikupokea simu kila ikiita nashindwa kuipokea maana mpaka uislide button ndio ipokeleke, sasa ikiita kila nikibonyeza haipokeleki, kuuliza naona aibu alafu pia nashindwa wa kumuuliza maana wengi hawakuwa nazo, nakumbuka niliulizia watu kama wawili wakawa hawajui. Basi siku hiyo akili ikanijia ikabidi nisome manual ndio nikaelewa. Daah nilivyoweza haki nilijichekaaa.

Aw!, pole dear! [emoji28]

Hiyo angevua suruali na kuitupa.

Halafu angeanza kukimbia..[emoji125] [emoji23]
 
Simu yangu ya kwanza kumiliki ilikuwa Alkatel, siku tatu za mwanzo sikuwahi kuiona iki vibrate.
The other day nilikuwa naendesha baiskeli simu nikatumbukiza kwenye back pack, sijui ilijibonyeza vipi ikaita kwa vibration, kitu ambacho nilikuwa sijakitegemea kabisa.
Nikajua ntakuwa nimebeba panya au snake kabisa. Niliruka kama ninja baiskeli ikadondokea chaka lingine mimi kwenye vumbi, begi nalo nimetupia mbali kabisa..
Nikatafuta bonge la fimbo nikaanza kutoa kichapo kwa lile begi hadi niliporidhika chochote kilichomo kitakuwa kimeshakufa.
Kuja kufungua begi duuh!! simu haifai. Nilitamani kwenda kujishtaki polisi mwenyewe
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji108]

Sent from my Infinix-X551 using JamiiForums mobile app
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Umenikumbusha hii kitu aisee, nami smartphone ilinitoa ushamba kipindi hicho ndio zimeingia ingia, sijui ilikua nokia n ngapi vile!!! Kama siku 4sikupokea simu kila ikiita nashindwa kuipokea maana mpaka uislide button ndio ipokeleke, sasa ikiita kila nikibonyeza haipokeleki, kuuliza naona aibu alafu pia nashindwa wa kumuuliza maana wengi hawakuwa nazo, nakumbuka niliulizia watu kama wawili wakawa hawajui. Basi siku hiyo akili ikanijia ikabidi nisome manual ndio nikaelewa. Daah nilivyoweza haki nilijichekaaa.
Pole sana
 
Niliwahi kwenda hotelini na mama mwaka 1985 mwambao mwaka ziwa Tanganyika,baada ya kumaliza kula nikaanza kutoa vyombo. Mama akaangalia kushoto na kulia kisha akanizaba kofi na kusema sio jukumu langu zaidi ya kula na kulipa na kuondoka [emoji23][emoji23][emoji23]
hehehehehe... Umenichekesha sana mkuu
 
Simu yangu ya kwanza kumiliki ilikuwa Alkatel, siku tatu za mwanzo sikuwahi kuiona iki vibrate.
The other day nilikuwa naendesha baiskeli simu nikatumbukiza kwenye back pack, sijui ilijibonyeza vipi ikaita kwa vibration, kitu ambacho nilikuwa sijakitegemea kabisa.
Nikajua ntakuwa nimebeba panya au snake kabisa. Niliruka kama ninja baiskeli ikadondokea chaka lingine mimi kwenye vumbi, begi nalo nimetupia mbali kabisa..
Nikatafuta bonge la fimbo nikaanza kutoa kichapo kwa lile begi hadi niliporidhika chochote kilichomo kitakuwa kimeshakufa.
Kuja kufungua begi duuh!! simu haifai. Nilitamani kwenda kujishtaki polisi mwenyewe
Hahahahahahahahahahahaha..natamani ningekuona ulivyokuwa umepanic
 
Mimi changu kilichonitoa ushamba hakihadithiki maana ni aibuu
 
Back
Top Bottom