Ni kitu gani ambacho kiliwahi kukutoa ushamba?

A haha kweli ushamba mzigo
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Elevator bhana iliniacha hoi way back! Nilipanda na kushuka zaidi ya mara tano bila kujua uelekeo wangu haha hah mwisho wa siku nikajikuta ground floor hah hah mlinzi alinichapa sana bila kujua nilikusudia kufanya nini katika elevator ile! hiyo ilikuwa pale data star enzi hiyo! sitasahau hah hah
 
Duh huwa nikirudi kjjn huwa simuulizii kabisa. Ila kakaake niko naye hapa town tunapiga kazi ni mt mzima . Nahs demu keshaolewa
 
khaa siku ya kwanza kutazama kideo tena ilikuwa picha ya Yesu...hapo tunekusanywa uwanja wa ccm huko kileji...
 
Nilialikwa birthday ya rafiki yangu halafu wakaserve table wine zile za box kwa chini kidogo unaivuta kanatoka ka koki kapo kama bomba hivi ambako ndo unafungua kujimiminia sasa mimi kwa vile nilipewa kwanza.
Nikaanza hangaika toboa juu nikizani lile box ndani kuna chupa ya wine!!..Kuna dada mmoja akanishtua hapo box juu lipo nusu tayari [emoji2]..
Aseh sipendi kaa siti ya mbele kwenye sherehe tena!!...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…