Ni kitu gani ambacho kiliwahi kukutoa ushamba?

Ni kitu gani ambacho kiliwahi kukutoa ushamba?

Mara ya kwanza kutumia smart phone, nimetoka dukani nimefika home nimeicharge battery full nimeingia mtaani, mtu wa kwanza ananipigia ninapress green button, kuna kaka aliniona alikuja kunisaidia kufuta na kidole, oohh.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Umenikumbusha hii kitu aisee, nami smartphone ilinitoa ushamba kipindi hicho ndio zimeingia ingia, sijui ilikua nokia n ngapi vile!!! Kama siku 4sikupokea simu kila ikiita nashindwa kuipokea maana mpaka uislide button ndio ipokeleke, sasa ikiita kila nikibonyeza haipokeleki, kuuliza naona aibu alafu pia nashindwa wa kumuuliza maana wengi hawakuwa nazo, nakumbuka niliulizia watu kama wawili wakawa hawajui. Basi siku hiyo akili ikanijia ikabidi nisome manual ndio nikaelewa. Daah nilivyoweza haki nilijichekaaa.
 
Sitosahau siku ya kwanza nimeenda ugenini nikapewa chai na tea bags, eti nikafungua ka bag kamoja nikamimina majani ili wengine waje kumimina yao hahahahhaa
Arooo[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Baada ya kutembelea ukweni na kupiga menyu ya maana na kuvimbiwa mbaya,nikauliza msalani nikaonyeshwa,si nikaingia na kushusha mzigo wa hatare,sasa si unajua tena vyoo vya kizungu vyataka kufrash maji mengi,nmeshamaliza shughuli bhana,si nikavuta ile kamba,maji hola[emoji15] kumbe yamekatika kitaaambo!!ooh balaa hili jamani[emoji30] kucheki kwenye ndoo ,nmenawa yameisha!!asalaalee!!nikatoka nikatafute maji japo nimuombe beki 3 kiasi tu nikafrash!!,ile niko namnong'oneza beki 3,naona shemeji mkubwa(dada mtu) nae anaelekea msalani!!hatareee[emoji125] [emoji125] si akaingia bhana!!pliz sitaki kukumbuka zaid ile aibu!!nini kilifuata?ntarudi[emoji124] [emoji124]
Hahahaaaaa jamii forums tamu kwa kweli haaaaa
 
Simu yangu ya kwanza kumiliki ilikuwa Alkatel, siku tatu za mwanzo sikuwahi kuiona iki vibrate.
The other day nilikuwa naendesha baiskeli simu nikatumbukiza kwenye back pack, sijui ilijibonyeza vipi ikaita kwa vibration, kitu ambacho nilikuwa sijakitegemea kabisa.
Nikajua ntakuwa nimebeba panya au snake kabisa. Niliruka kama ninja baiskeli ikadondokea chaka lingine mimi kwenye vumbi, begi nalo nimetupia mbali kabisa..
Nikatafuta bonge la fimbo nikaanza kutoa kichapo kwa lile begi hadi niliporidhika chochote kilichomo kitakuwa kimeshakufa.
Kuja kufungua begi duuh!! simu haifai. Nilitamani kwenda kujishtaki polisi mwenyewe
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Sitosahau siku ya kwanza nimeenda ugenini nikapewa chai na tea bags, eti nikafungua ka bag kamoja nikamimina majani ili wengine waje kumimina yao hahahahhaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hii ilikua Kali Mkuu
 
Aisee, siku ya kwanza kufungua shampeni tena ukumbini nilitamani kuikimbia sherehe maana nilikuwa naitikisa tuu nikisubiri mfuniko uchomoke wenyewe hadi nikaoneshwa kale kawaya ndani ya karatasi. Aibu kichizi
 
Simu yangu ya kwanza kumiliki ilikuwa Alkatel, siku tatu za mwanzo sikuwahi kuiona iki vibrate.
The other day nilikuwa naendesha baiskeli simu nikatumbukiza kwenye back pack, sijui ilijibonyeza vipi ikaita kwa vibration, kitu ambacho nilikuwa sijakitegemea kabisa.
Nikajua ntakuwa nimebeba panya au snake kabisa. Niliruka kama ninja baiskeli ikadondokea chaka lingine mimi kwenye vumbi, begi nalo nimetupia mbali kabisa..
Nikatafuta bonge la fimbo nikaanza kutoa kichapo kwa lile begi hadi niliporidhika chochote kilichomo kitakuwa kimeshakufa.
Kuja kufungua begi duuh!! simu haifai. Nilitamani kwenda kujishtaki polisi mwenyewe
ahahaaa mama weeeee
 
hahaaaaa...baada ya kumkuta dem wang mmoja hv
BK, nikaseme dhuu kumbe huwa iv.
 
Aisee, siku ya kwanza kufungua shampeni tena ukumbini nilitamani kuikimbia sherehe maana nilikuwa naitikisa tuu nikisubiri mfuniko uchomoke wenyewe hadi nikaoneshwa kale kawaya ndani ya karatasi. Aibu kichizi
Duh!!! Ningekimbia sherehe
 
Simu yangu ya kwanza kumiliki ilikuwa Alkatel, siku tatu za mwanzo sikuwahi kuiona iki vibrate.
The other day nilikuwa naendesha baiskeli simu nikatumbukiza kwenye back pack, sijui ilijibonyeza vipi ikaita kwa vibration, kitu ambacho nilikuwa sijakitegemea kabisa.
Nikajua ntakuwa nimebeba panya au snake kabisa. Niliruka kama ninja baiskeli ikadondokea chaka lingine mimi kwenye vumbi, begi nalo nimetupia mbali kabisa..
Nikatafuta bonge la fimbo nikaanza kutoa kichapo kwa lile begi hadi niliporidhika chochote kilichomo kitakuwa kimeshakufa.
Kuja kufungua begi duuh!! simu haifai. Nilitamani kwenda kujishtaki polisi mwenyewe
😀😀😀😀😀😀😀😀😀 duh, mkuu hii kali kulio 😀😀😀😀
 
Mimi mara ya kwanza lift nilishindwa kufungua kutoka ndani zamani sana..! Jamaa alinikuta mle macho yamenitoka nikaona aibu kusema..[emoji185]
Hizo lifti zilikuwa za mbao zinavutwa na kamba nn
 
Siku ya kwanza kufika dar,nilikuw natembea na begi langu la nguo kuogopa kuibiwa,nikienda kwa shoe shiner sitoki hapo nalinda viatu visiibwe
 
Baada ya kutembelea ukweni na kupiga menyu ya maana na kuvimbiwa mbaya,nikauliza msalani nikaonyeshwa,si nikaingia na kushusha mzigo wa hatare,sasa si unajua tena vyoo vya kizungu vyataka kufrash maji mengi,nmeshamaliza shughuli bhana,si nikavuta ile kamba,maji hola[emoji15] kumbe yamekatika kitaaambo!!ooh balaa hili jamani[emoji30] kucheki kwenye ndoo ,nmenawa yameisha!!asalaalee!!nikatoka nikatafute maji japo nimuombe beki 3 kiasi tu nikafrash!!,ile niko namnong'oneza beki 3,naona shemeji mkubwa(dada mtu) nae anaelekea msalani!!hatareee[emoji125] [emoji125] si akaingia bhana!!pliz sitaki kukumbuka zaid ile aibu!!nini kilifuata?ntarudi[emoji124] [emoji124]
[emoji3][emoji3][emoji3]pole mkuu though yashapita.
 
Mara ya kwanza Ku make love na Mdada... Nikafakamia kitovu nikajua ndio kitu yenyewe... "

Baadaa ya kuona naangaika kuitafuta ikabidi ashike dushe apeleke mahala husika...

Kweli ile siku nikiikumbuka huwa nacheka sana ...
[emoji3][emoji3]humu ndani mna mambo sana
 
Dah Mimi nilibanwaga muharo nkaomba kujihifadhi kwenye nyumba ya mtu ambaye simjui(msamalia mwema) nikapiga muhalo nshamaliza maji chooni hakuna weee mziki ulikuwa kuomba first aid
 
Back
Top Bottom