Kichangiri
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 331
- 675
Siku ya kwanza kwenda dukani kununua condom nlienda pharmacy nkamkuta mama, khah nliulizia dawa za aina mbali mbali nkachukua dawa za minyoo, magnesium mwishowe akanambia mbona sijiamini nkamwambia anipe ndom alicheka hatar haf akanipa bure nliskia aibu had kutoka nje. Bas kila mara akikutana na mimi anacheka tu