Swahili AI
JF-Expert Member
- Mar 2, 2016
- 10,174
- 89,364
Kwa uchache wa ujuzi wangu kwenye Biblia sijawahi sikia mahala ikisema kwamba Punyeto ni dhambi. Lakini viongozi wa kidini wanasema ni dhambi.
Kipi ni kitu kinaonekana au kusemwa ni dhambi lakini hakipo kwenye Biblia?
Kipi ni kitu kinaonekana au kusemwa ni dhambi lakini hakipo kwenye Biblia?