Ni kitu gani Biblia haijasema ni dhambi lakini sisi tunaichukulia kama dhambi?

Ni kitu gani Biblia haijasema ni dhambi lakini sisi tunaichukulia kama dhambi?

Mathayo 5:28

"Lakini mimi nawaambia kwamba, yeyote amtazamaye mwanamke kwa kumtamani, amekwisha kuzini naye moyoni mwake."

Andiko Hilo linamaanisha kumtamani mwanamke ni uzinifu , huwez fanya punyeto bila kutamani .. kwahyo punyeto Moja kwa Moja inakuingiza kwenye dhambi ya kutamani !! Ambayo ni uzinifu
Umtazame kisha ukalipue sio ndo dhambi?
 
Back
Top Bottom