Mathayo 5:28
"Lakini mimi nawaambia kwamba, yeyote amtazamaye mwanamke kwa kumtamani, amekwisha kuzini naye moyoni mwake."
Andiko Hilo linamaanisha kumtamani mwanamke ni uzinifu , huwez fanya punyeto bila kutamani .. kwahyo punyeto Moja kwa Moja inakuingiza kwenye dhambi ya kutamani !! Ambayo ni uzinifu