Ni kitu gani cha kijinga ulichokifanya uliposhika hela nyingi kwa mara ya kwanza?

Ni kitu gani cha kijinga ulichokifanya uliposhika hela nyingi kwa mara ya kwanza?

Nilisafiri mkoani kumfuata mwanamke Niliekuwa Nikiota kumpata mpaka Nikawa Naumwa. Tulitumbua raha kwa kuhama hoteli kadhaa za kifahari mkoa ule. Yaani ilikuwa Tukichukua chumba halafu Tv ikazingua au channel za Movies hazieleweki, kesho yake Tunatafuta hoteli kali zaidi na kitu cha kwanza kukagua ni Channels na ndipo mengine yanafuata. Yaani hadi leo huwa Nadata sana na huyu mwanamke maana siinjoi hata kinywaji Nikikumbuka navyoinjoi kunywa nae. Nikarudi Dar bado haikutosha, Nikamtumia Nauli, breki ya kwanza Ilikuwa mitaa fulani inayoongoza kwa Bar na ukahaba hapa Dar ambako Tulikaa kwenye lodge moja kali sana kwa kama siku saba mfululizo Tukitoka night tu. Pesa inazuzua sana usipotulia ingawa binafsi Nachokumbuka ni matukio Niliyowahi kufanya kwa namna ya hatari sana kwa sababu sikumbuki mara ya kwanza kushika pesa nyingi aisee. Huyu Tuliefanya nae hizi vurugu ni mama wa baby wangu sasa na bado yuko ndotoni mwangu, it feels stupid and crazy sometimes.
Kituko kingine Nilichowahi kufanya ni kumfuata msichana kampala ambako Tulitumbua pesa kama vichaa pia kwa wiki mbili. Ingawa Nilikuwa Naishi mwenyewe, Nahisi kosa nililofanya ilikuwa kutomuaga mtu yeyote katika familia yangu.
Kituko kingine Nilichowahi kufanya ni kile Nilichokifanya baada tu ya kutoka kuchukua pakee ya mgao wangu, Nikaenda Tigopesa, Airtel money na M-pesa Nikazijaza laini zote na pesa full. Nikabakiza kama M 1.5 mfukoni, Nikavuka na pantoni kigamboni kuja town. Hapo niko raugh kweli kweli, Nikamchukua taxi driver Nikamuuliza gharama ya kutoka pale hadi Bagamoyo ambako Nilimtanguliza mtu, aliponipa bei, Nikamwambia Tupite Sinza Nijafanye Shopping mpaka ya begi Nikatafuta lodge Nikaoga na kuchange, kisha Tukanyoosha mpaka Bagamoyo. Kilichotokea ni kuwa pamoja na mbwembwe zote hizo, Tuliishia kutibuana na alienisubiri halafu Nikaharibu zaidi baada ya kutongoza mtu mwingine kwa hasira. In short Tuliishia kulala vyumba tofauti na kurudi kila mtu na njia yake. Ila utoto ndio uliochangia kwa kiasi kikubwa.
Nina visa vingi ila hebu wengine wachangie.
Kama pesa zako hazijaisha naomba unitafute na mie
 
Hii thread lazima nirudi kusoma mwanzo mwisho.

Katika vipaji alivyonipa Mungu basi ni nidhamu ya pesa na kuwa na malengo nayo ambayo sitayumbishwa.
 
Nilikua first year semister ya kwanza ndio tumeingia chuo kuna demu alikua ananidharau sana nikachukua boom na kuapa nitakula naye sahani moja nikamweka kati na kumuingiza hotel.... Yule demu nlimbonda sana siku hiyo nilivyochoka nikamwacha alale nikachukua simu yake nikafuta namba zangu na meseji zangu zote kisha nikasepa kimya kimya.... Demu kuja kuamka sipo nshapotea.... Baada ya siku mbili nikapiga mtungi nikamkumbuka KIBAYA nikasahau kuwa nilimfanyia umafia si nikampigia simu Wacha aniporomoshee mitusi...

Mwingine nilitoka dar mpaka moro kwa hela ya boom kwenda kula mzigo nikaingia hotel ya kali.....

Nilivyoanza kazi nilikua nasafiri mara kwa mara nilikua na mademu kila mkoa niliokanyaga kasoro iringa na njombe... Ila makambako mbeya tunduma sumbawanga mpanda songea mbamba Bay namtumbo na pengine kote nilisabahi....

Ila kwa sasa naogopa mademu sijui kwa nini....
 
Mimi hela kubwa ya kwanza kushika ilikuwa ni ya Karo nikalipie adaya tangu form 3 had form 4 na michango yote...hapo imebaki kama wiki tufanye mtihani wa taifa kuhitimu. Basi jioni nikaenda zangu Villa Park (Mwanza), pembeni yake kuna Kiss Club...hizi nilikuwaga nazipita tu najiuliza humo ndani kuna nini, sasa ndo hivyo nimeshika hela...breki ya kwanza ikawa hapo. Actually, kabla sijatoka nikawaza kuwa hebu nisibebe hizi hela zote, ila nikasema aagh ngoja tu nizibebe zote ila ntatumia elfu 20 tu, aisee nimefika Villa Park mambo ikawa mambo...tena siku hiyo hiyo kanga moko walikuwepo kutoka Dar, kunwa sana...piga mademu ofa...nikamalizia kwenda kulala na malaya, asubuhi kumekucha nina mia 700 tu mfukoni...dah
Naona thread imevamiwa tayari!
 
Kumbe tunapingana? Mimi Nilidhani Tunaeleweshana maana si kila anaepost humu ni mwenyeji anaejua kila kilichomo humu. Isitoshe kuongea kiingereza si ishara ya usomi, tatizo ni mitazamo ya baadhi yetu.
Usihangaike sana kumuelewesha...we angalia id yake....halafu utajua kwa nini anafikiri hivyo....
 
Nilikua first year semister ya kwanza ndio tumeingia chuo kuna demu alikua ananidharau sana nikachukua boom na kuapa nitakula naye sahani moja nikamweka kati na kumuingiza hotel.... Yule demu nlimbonda sana siku hiyo nilivyochoka nikamwacha alale nikachukua simu yake nikafuta namba zangu na meseji zangu zote kisha nikasepa kimya kimya.... Demu kuja kuamka sipo nshapotea.... Baada ya siku mbili nikapiga mtungi nikamkumbuka KIBAYA nikasahau kuwa nilimfanyia umafia si nikampigia simu Wacha aniporomoshee mitusi...

Mwingine nilitoka dar mpaka moro kwa hela ya boom kwenda kula mzigo nikaingia hotel ya kali.....

Nilivyoanza kazi nilikua nasafiri mara kwa mara nilikua na mademu kila mkoa niliokanyaga kasoro iringa na njombe... Ila makambako mbeya tunduma sumbawanga mpanda songea mbamba Bay namtumbo na pengine kote nilisabahi....

Ila kwa sasa naogopa mademu sijui kwa nini....
Lolest
 
me nilinunua ufukwe wa coco beach.
Umenikumbusha stori za wastaafu toka Zambia waliporudi mbeya waliuziwa makanisa wakanunua na baadae kugundua wameliwa mahela.
Sasa bila shaka wewe ndo yule munene anayefanya watu wanajing'ata ng'ata msimu huu
 
Mimi mkuu baada ya kupata m 5 nilizokopa banki nilimpa kaka yangu tufanye biashara yeye akenda dubai kununua nguo baada ya kurudi tu akahama nchi akaelekea msumbiji hadi leo sina mawasiliano.naye na hatujaonana ni miaka 3 sasa na deni bado nadaiwa bank.niliumia san
Pole mkuu
 
Nilikua first year semister ya kwanza ndio tumeingia chuo kuna demu alikua ananidharau sana nikachukua boom na kuapa nitakula naye sahani moja nikamweka kati na kumuingiza hotel.... Yule demu nlimbonda sana siku hiyo nilivyochoka nikamwacha alale nikachukua simu yake nikafuta namba zangu na meseji zangu zote kisha nikasepa kimya kimya.... Demu kuja kuamka sipo nshapotea.... Baada ya siku mbili nikapiga mtungi nikamkumbuka KIBAYA nikasahau kuwa nilimfanyia umafia si nikampigia simu Wacha aniporomoshee mitusi...

Mwingine nilitoka dar mpaka moro kwa hela ya boom kwenda kula mzigo nikaingia hotel ya kali.....

Nilivyoanza kazi nilikua nasafiri mara kwa mara nilikua na mademu kila mkoa niliokanyaga kasoro iringa na njombe... Ila makambako mbeya tunduma sumbawanga mpanda songea mbamba Bay namtumbo na pengine kote nilisabahi....

Ila kwa sasa naogopa mademu sijui kwa nini....
Wwe mtu wa kusini kama sikosei
 
Mimi nilimpigia simu mke wa waziri fulani ambaye zamani alikuwa girl friend wangu. Alipolitaja jina langu kudhihirisha kawa bado ananitambua nikamrushia milioni moja bila kuniomba na nikamwambia akatengeze nywele zake kisha tukutane jioni ya ile siku.
 
Back
Top Bottom