BansenBurner
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,810
- 5,773
Niliingia supermarket nikakosa cha kununua wakat nilikua nikipita kila siku natamani siku niwenazo nifanye shopping bab kubwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Malizia basi hadithi yako😀.....Mimi nilimpigia simu mke wa waziri fulani ambaye zamani alikuwa girl friend wangu. Alipolitaja jina langu kudhihirisha kawa bado ananitambua nikamrushia milioni moja bila kuniomba na nikamwambia akatengeze nywele zake kisha tukutane jioni ya ile siku.
We kibokoNilikua first year semister ya kwanza ndio tumeingia chuo kuna demu alikua ananidharau sana nikachukua boom na kuapa nitakula naye sahani moja nikamweka kati na kumuingiza hotel.... Yule demu nlimbonda sana siku hiyo nilivyochoka nikamwacha alale nikachukua simu yake nikafuta namba zangu na meseji zangu zote kisha nikasepa kimya kimya.... Demu kuja kuamka sipo nshapotea.... Baada ya siku mbili nikapiga mtungi nikamkumbuka KIBAYA nikasahau kuwa nilimfanyia umafia si nikampigia simu Wacha aniporomoshee mitusi...
Mwingine nilitoka dar mpaka moro kwa hela ya boom kwenda kula mzigo nikaingia hotel ya kali.....
Nilivyoanza kazi nilikua nasafiri mara kwa mara nilikua na mademu kila mkoa niliokanyaga kasoro iringa na njombe... Ila makambako mbeya tunduma sumbawanga mpanda songea mbamba Bay namtumbo na pengine kote nilisabahi....
Ila kwa sasa naogopa mademu sijui kwa nini....
Hii ni code-switching. Ni utanzu unaojitegemea katika Isimu na kuna nadharia nyingi kuuelezea. Ulishawahi kujiuliza ni kwa nini wabunge wetu hawawezi kuongea Kiswahili pekee na ni lazima wachanganye? Yaani wakati mwingine hata huwezi kuelewa wanazungumzia nini. Wewe pia huwa unachanganya? Kwa nini?wabongo bwana ndio maana tuko nyuma, utakuta mtu anazungumza kiswahili halafu anachanganya na kiingereza sjui ndio mtu amesoma sana au ndio mashauzi sielewagii....
Daah!!! Aisee uao wa nyoka umetisha sana. Yaani kama ID yako tu inavyotisha. Ila tafadhali endelea kumwaga visa hapa tujifunze maana wengine ndio tupo hapo sasa hviNilisafiri mkoani kumfuata mwanamke Niliekuwa Nikiota kumpata mpaka Nikawa Naumwa. Tulitumbua raha kwa kuhama hoteli kadhaa za kifahari mkoa ule. Yaani ilikuwa Tukichukua chumba halafu Tv ikazingua au channel za Movies hazieleweki, kesho yake Tunatafuta hoteli kali zaidi na kitu cha kwanza kukagua ni Channels na ndipo mengine yanafuata. Yaani hadi leo huwa Nadata sana na huyu mwanamke maana siinjoi hata kinywaji Nikikumbuka navyoinjoi kunywa nae. Nikarudi Dar bado haikutosha, Nikamtumia Nauli, breki ya kwanza Ilikuwa mitaa fulani inayoongoza kwa Bar na ukahaba hapa Dar ambako Tulikaa kwenye lodge moja kali sana kwa kama siku saba mfululizo Tukitoka night tu. Pesa inazuzua sana usipotulia ingawa binafsi Nachokumbuka ni matukio Niliyowahi kufanya kwa namna ya hatari sana kwa sababu sikumbuki mara ya kwanza kushika pesa nyingi aisee. Huyu Tuliefanya nae hizi vurugu ni mama wa baby wangu sasa na bado yuko ndotoni mwangu, it feels stupid and crazy sometimes.
Kituko kingine Nilichowahi kufanya ni kumfuata msichana kampala ambako Tulitumbua pesa kama vichaa pia kwa wiki mbili. Ingawa Nilikuwa Naishi mwenyewe, Nahisi kosa nililofanya ilikuwa kutomuaga mtu yeyote katika familia yangu.
Kituko kingine Nilichowahi kufanya ni kile Nilichokifanya baada tu ya kutoka kuchukua pakee ya mgao wangu, Nikaenda Tigopesa, Airtel money na M-pesa Nikazijaza laini zote na pesa full. Nikabakiza kama M 1.5 mfukoni, Nikavuka na pantoni kigamboni kuja town. Hapo niko raugh kweli kweli, Nikamchukua taxi driver Nikamuuliza gharama ya kutoka pale hadi Bagamoyo ambako Nilimtanguliza mtu, aliponipa bei, Nikamwambia Tupite Sinza Nijafanye Shopping mpaka ya begi Nikatafuta lodge Nikaoga na kuchange, kisha Tukanyoosha mpaka Bagamoyo. Kilichotokea ni kuwa pamoja na mbwembwe zote hizo, Tuliishia kutibuana na alienisubiri halafu Nikaharibu zaidi baada ya kutongoza mtu mwingine kwa hasira. In short Tuliishia kulala vyumba tofauti na kurudi kila mtu na njia yake. Ila utoto ndio uliochangia kwa kiasi kikubwa.
Nina visa vingi ila hebu wengine wachangie.
0716 we ndo hujui kwani hujuu codeswitching na Codemixing...unaona wivu wenzio wanavyocheza na lugha..hata ivyo kwani dhambi??unaacha kuchangua madam umeanza kutafutizaa visas..wabongoo kazi kweliii.wabongo bwana ndio maana tuko nyuma, utakuta mtu anazungumza kiswahili halafu anachanganya na kiingereza sjui ndio mtu amesoma sana au ndio mashauzi sielewagii....
Mkuu Nikiyabwaga yote hapa mtanichukia, amini nachokwambia!Daah!!! Aisee uao wa nyoka umetisha sana. Yaani kama ID yako tu inavyotisha. Ila tafadhali endelea kumwaga visa hapa tujifunze maana wengine ndio tupo hapo sasa hvi
Unajua wengine ndio tunayapitia hayo sasa hivi , ndio maana tunahitaji kujua wengine mliyapitiaje na mliyashindaje mpaka dakika hiiMkuu Nikiyabwaga yote hapa mtanichukia,amini nachokwambia!
Huyo lazima alikuwa mke wa waziri Sonyo mkuuMimi nilimpigia simu mke wa waziri fulani ambaye zamani alikuwa girl friend wangu. Alipolitaja jina langu kudhihirisha kawa bado ananitambua nikamrushia milioni moja bila kuniomba na nikamwambia akatengeze nywele zake kisha tukutane jioni ya ile siku.
Daah!!nakumbuka nilichukua mkopo wangu wa kwanza,cha kwanza nikanunua gari afu chumban kulikua na pensi ya timberland ina mifuko mingi!!bhas nikaweka mil 1 ktk mfuko wa ile pensi!!bhas daaah ilikua bata tu gari pesa ikiisha narud hat gar sizimi naingia ndani kwenye ile pens nachukua hela,naingia ndan yq gari ndukiii!!sitosahau siku nikaja naingiza mkono mfukon natoka patupu,nikaitungua pensi nikaanza kuikung'uta sachi mifuki yote hamna kitu!!hela ishakata.nilichoamua hapo ni kwenda kupark gar na kurudi kulala!!