Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,577
- Thread starter
-
- #121
Da hiyo kweli mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23]Umewahi kukaa mkutanoni, kwa mfano, halafu kila baada ya sekunde kadhaa tumbo linaachia ngurumo "gruuuuuuuuu"? Akilini unawaza, "Hivi wameelewa kuwa hiyo ni ngurumo ya tumboni na sio kwamba ni ile nyingine?" Unatamani utoe ufafanuzi ili kuua soo. 🙄🙄🙄🙄🙄😱😱😱
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji87] [emoji87]Kumbe wale watume, lakini kumbuka pia kuna watume wa kiume(padre), kwa hiyo mgegedo haukwepeki
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Aisee eeee inaonyesha unaendaga mara 2 kwa week
Ohoooo jitahidi umalize banaaShule
Ungenionaje labda?!Kweli hii idea ya ku hide info za members humu imesaidia maana ww husna muba ningekuwa nakujua sijui ningekuonaje daaah
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji87] [emoji87]Naendaga kila siku aaubuhi na jioni mpaka kero aisee!!! Nikibana nisiende kesho yake shughuli pevu mpaka inanichana naniliu [emoji85]
Uwiiii....Sipendi kupiga mswaki a.k.a kusafisha meno kabisaaaa...
napenda kusikia harufu ya kinywa, hasa mwanamke ambaye hajasafisha kinywa tena jana yake awe alikunywa serengeti beer na mataputapu mengine kama Chibuku au banana.. napenda ile harufu hatari...
Kabisaa mkuuMasiara hayo punguza kula bhasi
[emoji4]Me nilifukuzwa huko kwa sababu ya migegedo, mfano mwingine Dr. Silaa
Weee hiyo kitu tamu balaaNYETO
Ohoooo...I can imagine sura yako inavokuwa ukiwa unaifanya hiyo shughuli
Mashemela haooShemeji umenikimbia shemeji!
Hata mm naizimia balaa[emoji4]Naipenda hiyo
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji106]Me vitu ambavyo sivipendi lakini ni lazima
* kunya na mjomba ake kujamba (ingawa napenda msosi)
* kuoga kipindi. Hii kitu utotoni nilikua nakula kichapo kila day lakini ckuiz mgegedo umeiteka dunia inanibidi tu kuoga
* kutandika kitanda. Demu wangu alifanya mpk saiz nikiamka natandika japokua sipendi.
Navingine vingi tu
Mmmmmh!Namuwakilisha demu wangu husema vile
Shule namaanisha kwa ujumla wake siunaju elimu haina mwisho.kila siku kuna mambo mapya yanayolazimu kurudi darasani ili kuwa compitent kwenye fani yako ,sekondary na chuo nlimaliza kwa kujilazimisha sana,nachochukia mimi sio elimu ila kule kukaa darasani kila siku kusomeshwa matheory.hapa nina kakozi ka mwezi mmoja nakasoma lakini naona kama nmesoma mwakaOhoooo jitahidi umalize banaa
So tungekuwa hatuli ingekuwajeAise kula kunamaliza pesa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hiyo kareeeKujambiwa na mwanamke
Marafiki zangu ni watatu tu tangu naanza kukuua, Nimeshindwa jinsi ya kuwa karibu na watu ila Nimeshindwa.Saikolojia yako hiyo ndio iko hivyo watu km nyinyi ni ngumu kuwa na marafiki