Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,577
Katika maisha yetu hapa duniani kuna vitu ambavyo tumeumbiwa na ni lazima tuvifanye,
Mfano: Kula, kulala,kuoga n,k
Sasa kuna vingine huwa tunafanya tu kwasababu ni lazima ila hatuvipendi sasa tutaje vile ambavyo hatuvipendi mimi sipendi kujamba kwa kweli[emoji38]
Sijui wewe hupendi nn?
Mfano: Kula, kulala,kuoga n,k
Sasa kuna vingine huwa tunafanya tu kwasababu ni lazima ila hatuvipendi sasa tutaje vile ambavyo hatuvipendi mimi sipendi kujamba kwa kweli[emoji38]
Sijui wewe hupendi nn?