Ni kitu gani 'EX' wako alisema kuhusu wewe mlivyoachana na kilikufedhehesha?

Unaona ulivyo mweupe 🤣🤣 maswali Gani haya unauliza, na unategemea nikujibu uziite porojo tena🙄🙄
 
Hawezi kuroga umaskini uliokithiri kwenye familia yetu...! Hii baada ya kumkuta anamlipa pesa afarakanishe mahusiano flan ili yeye aingie...🤝
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…