Ni kitu gani 'EX' wako alisema kuhusu wewe mlivyoachana na kilikufedhehesha?

Me ngoja

Daah! Me sio fedhea ila ni kitu nili mind kinoma ,at hatuwez endelea kwasabb dini n tofaut ,babak nkajkut nafikilia sana hiz dini shida yake nin aswa!!..😂🤔
 
Anyway ukichoka utarudi
 
Wazazi wake hawakunipenda, akaungana nao na akaishia kusema, nyie ni masikini saana! Siwezi kuishi na MTU kama wewe! Nikamshukuru Mungu, nikaendelea na maisha yangu.
 
Aisee Huyu mschana nlikuwa nampenda hadi nampenda tena, and nlikuwa namsomesha chuo kikuu, kwa asilimia kama 95 hivi. Akaja kunicheat na mwanachuo mwenzake, ilikuww karibu nife kwa maumivu. Mdogo wake alikuwa sec akawa ndo mfariji namba 1 gues what? Tuliishia kulana tu. And alikuww sio mzuri, dadake alikuwa chuma kweli kweli. Ila dogo was sweet nlikuwa napiga hafi makelele km mtoto, ilibidi tu nimwambie dogo kweli wewe mtam hakuna mfano kuliko dadako, ndo dem wqngu hadi leo 3 yrs. Dadamtu shule iliishia first yr baada ya mm kukata mirija
 
Pia kwanini unatembea na mtoti wa sekondari?
 
So dada mtu alivyogundua unamchukua mdogo wake alijisikiaje?
It was a hell waligombana sana, sema dogo ana roho ngumu zaidi ya osama ningekuwa jela na miaka 30 juu, walimpiga nusra afe anaambiwa anitaje. Alivyoona kipigo kimezidi akatoroka akaja geto, hakuna aliyekuwa anapajua
 
Mke mwenzio kwa ex wako karudi umemuona? [emoji81][emoji81][emoji81]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuu ushaanza visaa weyee!! Kumbe nna mke mwenza humu, em nisanue bas.
 
Ko imekuajee na Dogoo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…