Shindwa kwa Damu ya Yesu.Niko tayari kukufundisha bure utaenjoy Hannah wangu
πππ Ukweli nimefanya mengi na sijafanya mengi pia. Acha ibaki kuwa siri yangu tuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kitu gani hujawahi fanya?
Nipe nafasi kidogo tu yaani kidogo tuShindwa kwa Damu ya Yesu.
Sawa.....[emoji16][emoji16][emoji16] Ukweli nimefanya mengi na sijafanya mengi pia. Acha ibaki kuwa siri yangu tuu
Hujawai fanya nini BossLady ππSawa.....
Nimesubscribe huu Uzi.....Nitarudi.
HongeraVingi dah, sijawai kuwa na mume wa mtu, kuogombea uongozi wa siasa, sijawi kuchepuka pia.
Vingi sana Aiseee...si unajua mimi ni kienyeji[emoji1787]Hujawai fanya nini BossLady [emoji16][emoji16]
Haya dada Makiwendo πππVingi sana Aiseee...si unajua mimi ni kienyeji[emoji1787]
Halafu usiniite tena hilo jina....silipendi.
Dada unashindwaje mjua kadogo kako ka lastborn πππ[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Halafu wewe.....
Umenisumbua sana kukujua....But ni sawa.
Siku yako yaja mpendwaSijawahi kuachwa aisee maumivu ya mapenzi siyajui
Last born anam'attack Dada kwa Comment[emoji3]Dada unashindwaje mjua kadogo kako ka lastborn [emoji16][emoji16][emoji16]
πππ Kelee za lastborn kawaida tu jamaniLast born anam'attack Dada kwa Comment[emoji3]
Mwehu wewe[emoji16]
Realyπ€π€π€