Hannah
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 9,679
- 39,087
Shindwa kwa Damu ya Yesu.Niko tayari kukufundisha bure utaenjoy Hannah wangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shindwa kwa Damu ya Yesu.Niko tayari kukufundisha bure utaenjoy Hannah wangu
😁😁😁 Ukweli nimefanya mengi na sijafanya mengi pia. Acha ibaki kuwa siri yangu tuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kitu gani hujawahi fanya?
Nipe nafasi kidogo tu yaani kidogo tuShindwa kwa Damu ya Yesu.
Sawa.....[emoji16][emoji16][emoji16] Ukweli nimefanya mengi na sijafanya mengi pia. Acha ibaki kuwa siri yangu tuu
Hujawai fanya nini BossLady 😁😁Sawa.....
Nimesubscribe huu Uzi.....Nitarudi.
HongeraVingi dah, sijawai kuwa na mume wa mtu, kuogombea uongozi wa siasa, sijawi kuchepuka pia.
Vingi sana Aiseee...si unajua mimi ni kienyeji[emoji1787]Hujawai fanya nini BossLady [emoji16][emoji16]
Haya dada Makiwendo 😀😀😀Vingi sana Aiseee...si unajua mimi ni kienyeji[emoji1787]
Halafu usiniite tena hilo jina....silipendi.
Dada unashindwaje mjua kadogo kako ka lastborn 😁😁😁[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Halafu wewe.....
Umenisumbua sana kukujua....But ni sawa.
Siku yako yaja mpendwaSijawahi kuachwa aisee maumivu ya mapenzi siyajui
Last born anam'attack Dada kwa Comment[emoji3]Dada unashindwaje mjua kadogo kako ka lastborn [emoji16][emoji16][emoji16]
😁😁😁 Kelee za lastborn kawaida tu jamaniLast born anam'attack Dada kwa Comment[emoji3]
Mwehu wewe[emoji16]
Realy🤔🤔🤔