Mi+naona ni+ile asili ya mwanadam ya kutenda dhambi ndo inasababisha wa2 kuwa na mwanamke zaid ya mmoja. So wa2 wanatakiwa ku2bu na kumrudia mungu
Unakuwa na mpenzi wako,au hata mke/mume lakini unajikuta umeshawishika kuwa na mahusiano nje hii inatokana na nini??haswa?je nikuwa uliyenaye umemuchoka?lugha lahisi hakuna maelezo!!!
Unakuwa na mpenzi wako,au hata mke/mume lakini unajikuta umeshawishika kuwa na mahusiano nje hii inatokana na nini??haswa?je nikuwa uliyenaye umemuchoka?lugha lahisi hakuna maelezo!!!
Pole sana kwa tatizo lako.
watanzania tumekua tukichukulia kila kitu kua ni simpo na mtu anaamua kufanya na anaweza kuacha. in fact kuna mambo ambayo ni more psychological lakini watu wanaona mtu anafanya makusudi. mambo hayo ni kama uhuni uliokithiri, kukojoa kitandani, kunywa pombe au kuvuta sigara kupitiliza, kushindwa kudumu katika mahusiano, na mengine mengi. Hiyo ni imani potofu na imesababishwa na sisi kutojua kitu kinachoitwa Psychological disorders/ problems. Ninachoweza kukushauri kaka ni kutafuta msaada kwani tatizo lako laweza kua linasababishwa na unconscious mind yako genetically kwa hormones, sexual abuse, traumatic experience, au faulty ya cognition. kwa msaada tuandikie, psychologicalsupport@hotmail.com
Pole sana kwa tatizo lako.
watanzania tumekua tukichukulia kila kitu kua ni simpo na mtu anaamua kufanya na anaweza kuacha. in fact kuna mambo ambayo ni more psychological lakini watu wanaona mtu anafanya makusudi. mambo hayo ni kama uhuni uliokithiri, kukojoa kitandani, kunywa pombe au kuvuta sigara kupitiliza, kushindwa kudumu katika mahusiano, na mengine mengi. Hiyo ni imani potofu na imesababishwa na sisi kutojua kitu kinachoitwa Psychological disorders/ problems. Ninachoweza kukushauri kaka ni kutafuta msaada kwani tatizo lako laweza kua linasababishwa na unconscious mind yako genetically kwa hormones, sexual abuse, traumatic experience, au faulty ya cognition. kwa msaada tuandikie, psychologicalsupport@hotmail.com
Pole sana kwa tatizo lako.
watanzania tumekua tukichukulia kila kitu kua ni simpo na mtu anaamua kufanya na anaweza kuacha. in fact kuna mambo ambayo ni more psychological lakini watu wanaona mtu anafanya makusudi. mambo hayo ni kama uhuni uliokithiri, kukojoa kitandani, kunywa pombe au kuvuta sigara kupitiliza, kushindwa kudumu katika mahusiano, na mengine mengi. Hiyo ni imani potofu na imesababishwa na sisi kutojua kitu kinachoitwa Psychological disorders/ problems. Ninachoweza kukushauri kaka ni kutafuta msaada kwani tatizo lako laweza kua linasababishwa na unconscious mind yako genetically kwa hormones, sexual abuse, traumatic experience, au faulty ya cognition. kwa msaada tuandikie, psychologicalsupport@hotmail.com
Pole sana kwa tatizo lako.
watanzania tumekua tukichukulia kila kitu kua ni simpo na mtu anaamua kufanya na anaweza kuacha. in fact kuna mambo ambayo ni more psychological lakini watu wanaona mtu anafanya makusudi. mambo hayo ni kama uhuni uliokithiri, kukojoa kitandani, kunywa pombe au kuvuta sigara kupitiliza, kushindwa kudumu katika mahusiano, na mengine mengi. Hiyo ni imani potofu na imesababishwa na sisi kutojua kitu kinachoitwa Psychological disorders/ problems. Ninachoweza kukushauri kaka ni kutafuta msaada kwani tatizo lako laweza kua linasababishwa na unconscious mind yako genetically kwa hormones, sexual abuse, traumatic experience, au faulty ya cognition. kwa msaada tuandikie, psychologicalsupport@hotmail.com
Tanzania ikiwa na watu 100 kama wewe,tutaendelea sana!
Wengine walikua wamesha anza kusema "umalaya" duh,...ndo maana watu wanakufa kimya kimya
coz wakisema wataambiwa vingine!