Kajuni
JF-Expert Member
- May 27, 2009
- 483
- 186
Acha umalaya utazunguka bucha zote lkn nyama ni ile ile (zote zinatoa damu na ni nyekundu) sitaki maswali ktk hili
Inaelekea wewe pia unatatizo kama langu weka wazi tupewe ushauri....mmhhh umejuaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha umalaya utazunguka bucha zote lkn nyama ni ile ile (zote zinatoa damu na ni nyekundu) sitaki maswali ktk hili
Acha tamaa na jifunze kuuendesha matamanio yako badala ya kuyaacha yenyewe ndo yakuendeshe!!Kua na msururu wa wanawake sio sifa ni kutafuta magonjwa!
Cha muhimu ni kuandaa maziko yako tuu
Maria Roza ninakutamani sana jamani nitakuona vipi?
Mhhhhh! MR ni aje!?
Speaker nashukuru pia kwa kunipa nguvu kweli nimeamini kwenye msafara wa Mamba na Kenge wamo na ndo ivo nilivo ona hapa kuna wadau wanaichukulia hii hali yangu kama najitakia na wameniukumu kwa mie kuwa muwazi na nimeamua kuweka mambo hadharani nikijua JF kuna watu wanafikiri na watanipa ushauri. Big up Speaker!
Tanzania ikiwa na watu 100 kama wewe,tutaendelea sana!
Wengine walikua wamesha anza kusema "umalaya" duh,...ndo maana watu wanakufa kimya kimya
coz wakisema wataambiwa vingine!
100 wa kazi gani? Nadhani hata 10 tu!! Asante
hongera kwa kuwa muwazi.jaribu kufanya mazoezi,inasaidia.na kama wewe ni mkristo,ukijisikia kutamani,chukua biblia yako soma.ila kama wewe ni muislamu,chukua msahafu soma.inasaidia.au kama ni mtu wa kufunga,mara moja moja funga.
Hahaha BAK huyu kiwembe wa nini mie :evil::evil::evil: