compressor
Member
- Nov 26, 2009
- 76
- 0
nilibashiri kuanzia mwanzo kuhusu huu ugugumizi na mambo sasa naona yanaweza kuwa mazuri kama ni ngoma ya kucheza watupu unasubiri wenzako wavue ukivua,then ndo utoe za kwako.tutamwaga tu hata kwa njia zisizo rasmi,then wachambuzi watafanya kazi yaoha ha ha!
sio lazima uwe dairekti!sisi tu wanajimu!tumesomea unajimu seminarini!we tumia njia walizotumia wenzako
kama nguli ndo amesepa kabisa.
BWASHEEEEE! Hii siyo indirect ishu? LOL!Hahahahaha....
Hii kali haya na chumbani huwa mnazima taa usikaone au inakuwaje!!
Kaa online tu mumy utaelewa tu muda si mrefu, wapwa wanaanza kuweka hadharani yanayowashangazadu nimefika sehemu nashindwa kuelewa nini kina-continue .........
hata hawa gesti sisi tunawaelewa tayari kinachowashangaza kwenye relations zao!😀Currently Active Users Viewing This Thread: 30 (16 members and 14 guests) Geoff*, Bebeku, Bonge, carmel, chimunguru, Chrispin+, compressor, FirstLady1, herikujua, Kisusi Mohammed, klorokwini, Monicam, Shishi, Shishye, Sipo, Tshala
yaani wacha kunichekesha we.... eti nisikaone.....sio 'ka' ni 'ji'
kinachoendelea nini wewe kumwaga,kumwaga nini? aulizwe Geoff alieanzisha hili balaa humudu nimefika sehemu nashindwa kuelewa nini kina-continue .........
he he he he!BWASHEEEE! At last hii iko direct! Sasa inakuwaje hapo, washaweka pini au ndo umeshakubali kizazi kisogezwe kifuani. LOL! Dada mvumilivu wewe! Bila hii sredi tungejuaje? Hahahaha!
Tatizo Wapwa mna-prefer sana hizo ndoa zenu za kuvikana pete kwenye halaiki ya watu. Why all those troubles??HA HA HA HA HA!
hii ni ze simplesti mesoodi i have never learned!ndoa zina vioja kweli kweli!NGULI TO FOLLOW!....
Currently Active Users Viewing This Thread: 30 (16 members and 14 guests) Geoff*, Bebeku, Bonge, carmel, chimunguru, Chrispin+, compressor, FirstLady1, herikujua, Kisusi Mohammed, klorokwini, Monicam, Shishi, Shishye, Sipo, Tshala
Kaa online tu mumy utaelewa tu muda si mrefu, wapwa wanaanza kuweka hadharani yanayowashangaza
hata mimi namsubiri 'bht' kwa hamu sana, bestie wangu huyu lakini anateleza tu kwenye mada hii anakuwa kama moderator
ha ha ha ha ha ha ha!BWASHEEEEE! Hii naona ni kama direct vile! Kwenye get tugeza nyingine nadhani tutafumbua hili fumbo la imani!
Kama yule wa Afrika Sana yule atakuwa anashangazwa na................au Mpwa hamkumuona siku ile pale wakati anatoa huduma.hata hawa gesti sisi tunawaelewa tayari kinachowashangaza kwenye relations zao!😀