NI KITU GANI HUWA KINAKUSHANGAZA(au pengine unaona ni cha pekee) kwa MWENZI WAKO?

NI KITU GANI HUWA KINAKUSHANGAZA(au pengine unaona ni cha pekee) kwa MWENZI WAKO?

inaonekana mapaja ya mchuchu ALIYEKUTUNUKU PENZI ni kama mitutu!ha ha ha ha!sishangai,mapaja ya wanawake yapo tofauti sana kwakweli1nashukuru kwa kutoa kile kinachokushangaza!mpwa mwingine moyo umefunguka sasa!............bht to follow

bht is motionless and speechless today!!!
 
Kama yule wa Afrika Sana yule atakuwa anashangazwa na................au Mpwa hamkumuona siku ile pale wakati anatoa huduma.

Key
Huduma=HUDUMA TAKATIFU
he he he he!😀
 
Ukiona yamemshinda Fidel ujue jahazi limeanza kuzama..... leo Masanilo yuko wapi ye?
 
ha ha ha ha ha ha ha!
leo muzee UMEWASHIKA PABAYA!ngoja nimpigie kaizer tuone kama tunaweza kuweka kituo kinondoni tulijadili hili kwa mapana zaidi

BWASHEEE! Kazi kwao sasa na wao kufumbua hiyo indirect uliyoiweka hapo! Hahaha! Umeiweka indirect, nakugongea senksi sasa hivi! Now you are talking!
 
hahahaha haya ngoja na mie niwe kama guest
Dont leave binamu, Sura yako ikikosekana hapa akina Chrispin, Geoff na Sipo watakuwa offline sasa hivi au wakufuate uko unakokwenda.
 
BWASHEEE! Kazi kwao sasa na wao kufumbua hiyo indirect uliyoiweka hapo! Hahaha! Umeiweka indirect, nakugongea senksi sasa hivi! Now you are talking!
hahahahahahahahah!
mesodi niliyoitumia hapa nadhani ni watu wachache sana wanaweza kuivumbua!...............
 
BWASHEEEEE! Hii naona ni kama direct vile! Kwenye get tugeza nyingine nadhani tutafumbua hili fumbo la imani!

Iribini unainsinyureti nini hapoo!!! haaa huo utabiri wa seminarini naona uko dailuted na tudrops twa maji ya baraka haaaaaaa
 
Ukiona yamemshinda Fidel ujue jahazi limeanza kuzama..... leo Masanilo yuko wapi ye?
hah ha ha wewe Shishi wewe
Fidel80 anamix akitia timu hapa lazima kijiwe kisambaratike
Masanilo toka auze uhuru wake kule Zenji tumempoteza kabisa jamani huyu binamu yetu. Where are you Masa???
 
bht is motionless and speechless today!!!

BWASHEE Umeona hiyo indirect? Stukaaaaa! Anakuwa motionless na speecheless baada ya vululuvululu kwenye sita kwa sita! Stuka bwashee! Hahaha! GOT YAA!
 
BWASHEE Umeona hiyo indirect? Stukaaaaa! Anakuwa motionless na speecheless baada ya vululuvululu kwenye sita kwa sita! Stuka bwashee! Hahaha! GOT YAA!

hahaaaaa unajimu huo kama wa Sheikh nanihiii loh!!! nafwa mie
 
BWASHEE Umeona hiyo indirect? Stukaaaaa! Anakuwa motionless na speecheless baada ya vululuvululu kwenye sita kwa sita! Stuka bwashee! Hahaha! GOT YAA!
ha ha ha ha ha ha ha!
i can imagine na mwili wake mkubwa!kilo mia na,thinking of motionless and all that,lol!
 
wengi wamechagua ulichochagua,kwa leo inaelekea viti vitakuwa na shida huko

BWASHEEEEE! Nyingine hiyo. Stukaaaa! Wanapenda kukaliana! Hahaha! Leo tutawatambua kwa maneno yenu! Hahaha! Raha iliyoje, hata ukiwa baa unamalizia kwa kiti! LOL! GOT YAAA!
 
Back
Top Bottom