NI KITU GANI HUWA KINAKUSHANGAZA(au pengine unaona ni cha pekee) kwa MWENZI WAKO?

NI KITU GANI HUWA KINAKUSHANGAZA(au pengine unaona ni cha pekee) kwa MWENZI WAKO?

BWASHEEEEE! Nyingine hiyo. Stukaaaa! Wanapenda kukaliana! Hahaha! Leo tutawatambua kwa maneno yenu! Hahaha! Raha iliyoje, hata ukiwa baa unamalizia kwa kiti! LOL! GOT YAAA!
ha ha ha ha ha ha!sin'chezoooo!leo umewashika.....!unawasoma ipasavyo,ngoja nirudi page nne nyuma nianze kuwasoma
 
BWASHEEEEE! Nyingine hiyo. Stukaaaa! Wanapenda kukaliana! Hahaha! Leo tutawatambua kwa maneno yenu! Hahaha! Raha iliyoje, hata ukiwa baa unamalizia kwa kiti! LOL! GOT YAAA!
teh teh teh teh teh teh teh teh huu utabiri ni thoo!!!! mnajimu Geoff hili ndo balaa ulilolitarajia? au linazidi makadirio?
 
bht is motionless and speechless today!!!
'bht' ina maana hakuna hata kimoja kinachokushangaza wewe kwa huyo mwandani wako? pls njoo hata indirect binamu tutakuelewa tu mwaya
 
Hivi hawa malegend ndio akina nani na kazi yao ni nini? nisaidieni mwenzenu
welkamu baack welkamu baak welikamu baaaaak!
TURUDI KWENYE SREDI MAMA!nasubiri mchango wako
 
Hivi hawa malegend ndio akina nani na kazi yao ni nini? nisaidieni mwenzenu
Kukmbe huwajui shemeji.....ngoja nikudirect..........nenda kwenye jukwaa la pili kutoka juu utawakuta wengi kule wamekomaa wanatatua matatizo ya nchi
 
.............NGULI na FIDEL80
ha ha ha ha!
wamekataa kata kata!meaning kwamba relations zao zimo humu humu jf!mmoja amekiri wazi anaogopa kuchafua hali ya hewa jamvini
 
hao watatu inaonekana hii sredi imewafrustrate!huenda wenzi wao huwa jogoo hanyanyuki mpaka akaanzie na sabuni bafuni😀
..........au wawe jirani na kile kitanda cha Pdiddy kinachopiga kelele wakati wa majamboz
 
Kukmbe huwajui shemeji.....ngoja nikudirect..........nenda kwenye jukwaa la pili kutoka juu utawakuta wengi kule wamekomaa wanatatua matatizo ya nchi


haaaaaa sipo creze!!! wacha wakomae sie twaponda raha huku lol!!!
 
Geoff, Xspin leo mmekosa kazi kabisa!!!!!! hamfai kulipwa na hao waajiri wenu!
 
Geoff, Xspin leo mmekosa kazi kabisa!!!!!! hamfai kulipwa na hao waajiri wenu!
pointi of korreksheni!HATUFAI KUZIENDESHA KAMPUNI ZETU!...MAY BE NISEME hatufai kujilipa😀
 
pointi of korreksheni!HATUFAI KUZIENDESHA KAMPUNI ZETU!...MAY BE NISEME hatufai kujilipa😀

ahaaaa wakurugenzi maexakativiiiiz nyie...mnakula madividends sijui
 
haaaaaa sipo creze!!! wacha wakomae sie twaponda raha huku lol!!!
My dear bht ooh sorry my cousin but if you dont mind its my pleasure
Tuendelee kula raha jamani
 
Back
Top Bottom