bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,873
umeua mpwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
hahahahahahahahha
nimecheka hadi wahindi wananishangaa[/QUOTE]
Waambie wanasubiriwa TRL kule shauri yao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umeua mpwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
hahahahahahahahha
nimecheka hadi wahindi wananishangaa[/QUOTE]
Waambie wanasubiriwa TRL kule shauri yao
mwambie ajiunge haraka nimpe SENKSI!nampongeza ******* kwa kampeni zake za kuhakikisha baa-medi NEEMA anaondoka mkulima pub
Inasemakana wanawake wengi iwa wanalzimishwa kulala upande wa ukutani hii ni kwa nn?
Dah pole mkuu upo wapi nije nikulipie?
Fidel80 hata mie huwa ni lazima nilale ukutani kuna tatizo kwani hahaha??
mie huwa nalala huku pembeni ya kitanda. au na hiki ni cha kushangaza.Fidel80 hata mie huwa ni lazima nilale ukutani kuna tatizo kwani hahaha??
bht umenena vema,hii mada kweli leo ngumu,ofutopiki zoooooooooote,Yani watu hawasemi kile kinatakiwa.Ngoja nikalale mie.
Pouwa Mkuu nitampa salamu. Wewe utakuwa wapi leo? Au Yenu BarHahahahaha ebwanee msalimie sana na Fatuma am missing her very much.
Dah kitu kimekula nyomi ya ajabu hivi mbona kule kwenye siasa hampendi kwenda? Maana kumelala sana kule kuna mambo ya msingi kuhusu nchi yetu.Currently Active Users Viewing This Thread: 55 (24 members and 31 guests) Bebeku, bht, Bonge, carmel, Che Kalizozele, chimunguru, Chrispin+, Dawson, herikujua, Iza, Kabogo, Kisusi Mohammed, MalaikaMweupe, Monicam, Nyuki, Radical, Shishi, Shishye, Sipo+, TreasureFred, _ BABA _
Hahahaha jibu swali kwa nn wanawake mnapenda sana kulala upande wa ukutani?
Mmh! Ila ZD wewe si bado single ndugu yangu? Someone wants to applymie huwa nalala huku pembeni ya kitanda. au na hiki ni cha kushangaza.
Ndugu,
Ninauzoefu wa miaka kumi pamoja na mwezi wangu,cha kunishangaza ni upendo usiopungua kwetu sisi wawili,ni ulize SIRI nini?
Elisante Yona
punguza ubahili ndugu, nunua msuwaki wa pili kabla hamjaambukizana marazi ya ufizi (wanasayansi tunayaita ufizology).JAMANI Kuna kitu kingine Mie na My wife huwa tuna share mswaki, hii kitu ilianza toka enzi za uchumba wetu, alikuwa akija Gheto yeye kuanzia tshirt/mashati, pants zote anavaa, mswaki morning anatumia ule wangu siku za kwanza nilijitahidi kumsihi asitumie lkn alikuwa mkali matokeo yake saa tumezoea, huwezi amini hata mie wala sioni tofauti na hhakuna madhara yeyote niliyowahi pata, na hata glass ya maji always tunatumia moja, mapenzi yana mambo yake jamani.
ha ha aha ha ahahahahahahah!hatari dunianiMie babu! Sijapata kuwa na hakika za miguno yake wakati wa tendo, sijui ni sign ya raha au ananipa moyo? Bt these feelings cjui vp? Mbna mie siguni hivo au sijiskii, pia daah! Pale anshikapo kiuno kunsogeza if nkiwa nmetoka kdogo center! Aiyaa!