NI KITU GANI HUWA KINAKUSHANGAZA(au pengine unaona ni cha pekee) kwa MWENZI WAKO?

NI KITU GANI HUWA KINAKUSHANGAZA(au pengine unaona ni cha pekee) kwa MWENZI WAKO?

mwambie ajiunge haraka nimpe SENKSI!nampongeza ******* kwa kampeni zake za kuhakikisha baa-medi NEEMA anaondoka mkulima pub

Hahahahaha yeah kwa mama Kinibu pale kafrahi sana ngoja anafungua nae JF.
 
Inasemakana wanawake wengi iwa wanalzimishwa kulala upande wa ukutani hii ni kwa nn?

majibu haya ni kwamujibu wa mke wangu mwenyewe, anasema eti ni kwasababu za kiusalama eti hata kama mtu akiwavamia wewe mwanaume unatakiwa uwe mlinzi wa mkeo na kwavile wanume ndio tunajifanyaga tuna ubavu basi hapo ndio mahali pa kuonyeshea . siunajua tena mwanammke anataka kuhakikishiwa usalama na kama huwezi kutimiza hilo anaweza kukuona hufai na hata kukukimbia.
 
Dah pole mkuu upo wapi nije nikulipie?

uskonde, nimemuonesha mwenye cafe utamu wa mada kakubali kuniofa kajinusu saa cha ziada bila malipo, na kanambia nikushtueni kwamba yeye anamshangaa mke wake akimpa pesa za kununua mboga anaenda kununua mkorogo na akikompleni mke wake anaanzisha kosovo.
imebidi niache mdomo wazi, habbar kubwa hii
 
Fidel80 hata mie huwa ni lazima nilale ukutani kuna tatizo kwani hahaha??
 
bht umenena vema,hii mada kweli leo ngumu,ofutopiki zoooooooooote,Yani watu hawasemi kile kinatakiwa.Ngoja nikalale mie.
 
bht umenena vema,hii mada kweli leo ngumu,ofutopiki zoooooooooote,Yani watu hawasemi kile kinatakiwa.Ngoja nikalale mie.

m/kiti mwenyewe ofutopik haya sye wajumbe si ndo twapotea kabisa? mada tatu ndani ya moja.......

nite nite ZD!!!!
 
Ndugu,

Ninauzoefu wa miaka kumi pamoja na mwezi wangu,cha kunishangaza ni upendo usiopungua kwetu sisi wawili,ni ulize SIRI nini?

Elisante Yona
 
JAMANI Kuna kitu kingine Mie na My wife huwa tuna share mswaki, hii kitu ilianza toka enzi za uchumba wetu, alikuwa akija Gheto yeye kuanzia tshirt/mashati, pants zote anavaa, mswaki morning anatumia ule wangu siku za kwanza nilijitahidi kumsihi asitumie lkn alikuwa mkali matokeo yake saa tumezoea, huwezi amini hata mie wala sioni tofauti na hhakuna madhara yeyote niliyowahi pata, na hata glass ya maji always tunatumia moja, mapenzi yana mambo yake jamani.
 
Ndugu,

Ninauzoefu wa miaka kumi pamoja na mwezi wangu,cha kunishangaza ni upendo usiopungua kwetu sisi wawili,ni ulize SIRI nini?

Elisante Yona

siri ni nini Elisante ?mie naelekea anivesali miaka 25 niambie siri yako na mie nikupe yangu
 
JAMANI Kuna kitu kingine Mie na My wife huwa tuna share mswaki, hii kitu ilianza toka enzi za uchumba wetu, alikuwa akija Gheto yeye kuanzia tshirt/mashati, pants zote anavaa, mswaki morning anatumia ule wangu siku za kwanza nilijitahidi kumsihi asitumie lkn alikuwa mkali matokeo yake saa tumezoea, huwezi amini hata mie wala sioni tofauti na hhakuna madhara yeyote niliyowahi pata, na hata glass ya maji always tunatumia moja, mapenzi yana mambo yake jamani.
punguza ubahili ndugu, nunua msuwaki wa pili kabla hamjaambukizana marazi ya ufizi (wanasayansi tunayaita ufizology).
 
Mie babu! Sijapata kuwa na hakika za miguno yake wakati wa tendo, sijui ni sign ya raha au ananipa moyo? Bt these feelings cjui vp? Mbna mie siguni hivo au sijiskii, pia daah! Pale anshikapo kiuno kunsogeza if nkiwa nmetoka kdogo center! Aiyaa!
 
Mie babu! Sijapata kuwa na hakika za miguno yake wakati wa tendo, sijui ni sign ya raha au ananipa moyo? Bt these feelings cjui vp? Mbna mie siguni hivo au sijiskii, pia daah! Pale anshikapo kiuno kunsogeza if nkiwa nmetoka kdogo center! Aiyaa!
ha ha aha ha ahahahahahahah!hatari duniani
 
Back
Top Bottom