kwetumasoko
JF-Expert Member
- Aug 24, 2016
- 866
- 510
Pia na kumshukuru Mungu kukuwezesha kurudi salama kutoka kazini na kukupa nguvu ya kutafuta hako kahera ka kununulia kared wineswezi kulala bila kupata kared wine labda niwe nadose ..........
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pia na kumshukuru Mungu kukuwezesha kurudi salama kutoka kazini na kukupa nguvu ya kutafuta hako kahera ka kununulia kared wineswezi kulala bila kupata kared wine labda niwe nadose ..........
Asante rafiki nitazingatia hiliPia na kumshukuru Mungu kukuwezesha kurudi salama kutoka kazini na kukupa nguvu ya kutafuta hako kahera ka kununulia kared wine
Hiyo Lusekelo imekaa vyemakabla ya kulala lazima nigonge LUSEKELO na kila asubuhi kabla ya kunyanyuka kitandani nazimua tena hapo hapo kitandani
Acha uongo,ina maana unagegeda kila siku?Siwezi lala bila kugegeda hapo nitahaha usiku mzima hata Kinondoni nitaenda!Isha jizoelea mm
Mkuu 2pac alisaidiwa Na group Nas alikuwa Mfalme wa NY peke yake Na ndio ilikuwa single yake kubwa kuliko zote.
Far as Tupac goes, hit 'em up haikuwa diss bali hisia. Ether haikuwa single kubwa ya Nas, and I think it's highly overrated. Nas reasoned with an IQ of a 9 years old.
Sawa Na IQ yako ina "reasoned" ya mtoto wa miaka mingapi?
We jamaa bhana,kwani ni nini tofauti ya hisia na diss son.sitaki uandike lugha yako ya kiingereza mana shule hukunipelekaFar as Tupac goes, hit 'em up haikuwa diss bali hisia. Ether haikuwa single kubwa ya Nas, and I think it's highly overrated. Nas reasoned with an IQ of a 9 years old.
We jamaa bhana,kwani ni nini tofauti ya hisia na diss son.sitaki uandike lugha yako ya kiingereza mana shule hukunipeleka
Kabla ya kulala lazma nkojoe kwanzaKila mtu ana kitu ambacho ni muhimu kwake kabla ya kulala na baada, au awapo safarini, sasa leo niambie ni nini ambacho usipokifanya huwezi kulala au kuondoka home asubuhi baada ya kuamka?
Binafsi siwezi kulala bila kupiga mswaki na ndiyo maana meno yangu ni meupe peee, yaani bora nisioge ila sio kulala bila kusafisha kinywa na hata nikiwa safari basi mswaki huwa siusahau kabisa.
Niambie na wewe tuweze kushare idea hapa jamvini.
Yaa nagegeda kila sikuAcha uongo,ina maana unagegeda kila siku?
Kwani wanaume wa Dar uliambiwa hawawezi? Harafu wanyakyusa mna maneno sana nyieYaa nagegeda kila siku
Weekends asubuhi,mchana na usiku
Wewe huwezi?Ni mwanamme wa Dar au?
Kwani wanaume wa Dar uliambiwa hawawezi? Harafu wanyakyusa mna maneno sana nyie
Mkuu sex kila siku mbona easy sana kama hauumwi na wala vyemaKwani wanaume wa Dar uliambiwa hawawezi? Harafu wanyakyusa mna maneno sana nyie
[emoji12] [emoji12] [emoji1] [emoji57] [emoji57] mala nyingi watu kama nyie ndio hamnaga loloteMkuu sex kila siku mbona easy sana kama hauumwi na wala vyema
Easy mno mkuu
Mm huwa na enjoy every day!
Labda akatae yy sio mm
Mm sio MWANAMME wa Dar![emoji12] [emoji12] [emoji1] [emoji57] [emoji57] mala nyingi watu kama nyie ndio hamnaga lolote