Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Shosti kuna sehemu nimekuchekea?
Sasa hapo nini kinachekesha?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hapo nini kinachekesha?
Hakuna lolote la maana alilolifanya , ni watu tu wa insta waliamua kumtrendisha upepo ukakubaliView attachment 3018017
Tangu mwezi uliopita Bambo amekuwa akitrend sana mitandaoni, ni kitu gani kimemrudisha kwa kasi ya 5g ?
Naona pia watoto wa 2000 wamevutiwa sana na style yake iliyowahi kumpa umaarufu ya kuchanganya herufi kwenye maneno
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Njoo nikupo nambo ya mtaalamo wango nawewo utrendo
Tangu zamani nilikuwa simuelewi.Sijui inakuwaje Bambo zamani alikuwa ana chekesha sana.. ila kwa sasa hamna kitu .
hata ukiangalia zile mizengwe likely uta cheka
Aliyekuwa anasema rabadina sio bambo.Aruuuuuu labadiiinoooooo 😆
Ooooh alikuwa nani Kingwendu au 😃Aliyekuwa anasema rabadina sio bambo.
"Rabadinaaaaaa ,Edi umedoda".
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sasa hapo nini kinachekesha?
Kuna chalii fulani kama sikosei anaweza akawa Mkono wa Mkonole (60%) ,ila sio Bambo wala Kingwendu.Ooooh alikuwa nani Kingwendu au 😃
Hooohoo ni Kingwenduu bruhKuna chalii fulani kama sikosei anaweza akawa Mkono wa Mkonole (60%) ,ila sio Bambo wala Kingwendu.
Sio Kingwendu.Hooohoo ni Kingwenduu bruh
🤣Mtu akijitafutia ugali wake kwa njia halali bado mnamsagia kunguni
Kunywa pombe na kwenda kwa HamonizeView attachment 3018017
Tangu mwezi uliopita Bambo amekuwa akitrend sana mitandaoni, ni kitu gani kimemrudisha kwa kasi ya 5g ?
Naona pia watoto wa 2000 wamevutiwa sana na style yake iliyowahi kumpa umaarufu ya kuchanganya herufi kwenye maneno
Amna Shido kuna kitu unatakoo?😂😂Kwani Kuna shido