Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwakaleli, lufilyo, Rungwe wap hyo mkuuDaah! Uchawi upo kudadeki ilikuwa mwaka 2006 Niko zangu form II Shule moja huko wilaya ya Rungwe kipindi hicho, ilikuwa hivi ikiwa karibia tunaenda kufanya pepa ya mwisho nilikuwa na kaa na bro mmoja hivi ni best yangu kinyama yaani af tunapiga class moja si unajua zamani watu walikuwa wanasoma na umri mkubwaโฆ
Lie usiku najiandaa kutoka niende nikasome class kudadeki zao wachawi mbwa wale nimefika class nikafunua daftari nianze kusoma nakumbuka ilikuwa ni history tena sehemu ya zulu โฆcha kushangaza nikishindwa kusoma ndani ya lisaa hivi kila nikisoma sioni kitu naona karatasi jeupeeee tu ata nikifumbua wapiโฆ. Nikajisemea ngoja nikadoz kidogo napo wapi basi nkahailisha kusoma ile narud dormitory nkalale ilipata saa moja hivi, nilichokuja kuona usiku wa manane ety jamaa yangu yule best yangu ety ananiloga nisifaulu hizo ni ndotoni kwakweli dah mwisho wa siku mie nyanya yangu kipindi hicho alikuwa hai nikaenda kwake akanitaftia majani flani hivi nikanywa na kupakwa usoni ndo kuanza kuona maandishi kudadeki siji sahauโฆโฆ mbeya ni nyoko
Hiyo movie inaitwaje mkuu niliiangalia zaman sana 2000'sIle muvi ya kinaijeria jamaa anawekwa kwenye chupa....halafu mganga anaimb ''kufa njaa''
Suicide mission.Hiyo movie inaitwaje mkuu niliiangalia zaman sana 2000's
Nalikumbuka hili tukio, alidondokea makaburi ya NdugumbiLive kabsa nilimuona mbibi akipaa na ungo, mchana kweupee
Kama anayekumbuka hili tukio atatoa ushuhuda naofia kutaja maeneo ila huyo mbibi alikuwa anatokea mwananyamala na ungo wake huku watu wakiwa wanamfatilia maana kama alikanyaga mtego na ungo ulikuwa hauendi kwa kasi, nahofia kutaja alipokuwa anaelekea kwa privacy yangu Kama Mwana JF
Kama hilo lilishindwa kunithibitishia kuwa uchawi upo lingine niliumwa ugonjwa wa ajabu sanaa hospital nilienda mpaka kumuona doctor special lakini sikupata nafuu wala kupona atimaye nilienda kuponea kwa sheikh kwa tiba ndogo sanaa-Mungu ni mwema nyakati zote
Nalikumbuka hili tukio, alidondokea makaburi ya Ndugumbi
Nilikuwa nasoma Turiani pale ndo tukaambiwa kuna mchawi kanasa ndo tukaenda kumuangalia,Swadacta
[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ile muvi ya kinaijeria jamaa anawekwa kwenye chupa....halafu mganga anaimb ''kufa njaa''