Ni kitu gani kilikufanya ukavutiwa na JF?

Ni kitu gani kilikufanya ukavutiwa na JF?

Mshana Jr, ana hisa JF? Ni mtu maarufu sana humu
Hisa JF hapana labda useme ni muhimu na maarufu
maana asipoonekana kutwa licha ya wiki naona sio JF tena
umuhimu wake hata mm nauthamini na alipopewa uPLATINUM Member sikushangaa
ni cheo cha juu kabisa sijui km kuna cheo cha juu zaidi Diamond
mwingine mwenye Cheo hicho ni Nyani Ngabu nk hao ni Muhimu hata Mada zao
 
Chief -mkwawa.
Ni mtu aliyefanya mpka nikajiunga jf .Kuna kipindi nilikuwa nahitaji laptop inayoweza kucheza game nyingi ile pita pita mitandaoni nikamcheki jamaa na mada yake moja hiv(nimeisahau kidogo)ile nataka kumuulizia kitu, jf wakaniomba ni jiunge ili nitume msg na ndo ikawa mwanzo.
Salut chief mkwawa[emoji817]%
 
Hisa JF hapana labda useme ni muhimu na maarufu
maana asipoonekana kutwa licha ya wiki naona sio JF tena
umuhimu wake hata mm nauthamini na alipopewa uPLATINUM Member sikushangaa
ni cheo cha juu kabisa sijui km kuna cheo cha juu zaidi Diamond
mwingine mwenye Cheo hicho ni Nyani Ngabu nk hao ni Muhimu hata Mada zao
Hicho cheo alichopewa analipwa?
 
Chief -mkwawa.
Ni mtu aliyefanya mpka nikajiunga jf .Kuna kipindi nilikuwa nahitaji laptop inayoweza kucheza game nyingi ile pita pita mitandaoni nikamcheki jamaa na mada yake moja hiv(nimeisahau kidogo)ile nataka kumuulizia kitu, jf wakaniomba ni jiunge ili nitume msg na ndo ikawa mwanzo.
Salut chief mkwawa[emoji817]%
[emoji23][emoji23][emoji23]na alikuwa hajui kama chanzo ni yeye
 
Hicho cheo alichopewa analipwa?
naona hakuna lolote ni Heshima (lkn siri ya Mtungi muulize Mshana Jr mwenyewe mm si msemaji)
zamani JF iliomba <e,ner wachangie na ukichnga kiwango walichokipanga unapewa Beji, na Beji ya Mchango wa kiwango cha juu ni PLATINUM)
Wanasheria, wanasiasa, Viongozi wa juu walikuwepo
Naona mtindo huo hakuendelea tena
ma wengi tuliokuwa tunachungulia ilibidi sasa kujiunga rasmi kwa ID hizi
 
naona hakuna lolote ni Heshima (lkn siri ya Mtungi muulize Mshana Jr mwenyewe mm si msemaji)
zamani JF iliomba Wanasheria, wanasiasa, Viongozi wa juu walikuwepo
Naona mtindo huo hakuendelea tena
ma wengi tuliokuwa tunachungulia ilibidi sasa kujiunga rasmi kwa ID hizi
Ukipewa beji, unakuwa na mamlaka yoyote humu JF?
 
Niliingia JF 2011 baada ya kuvutiwa na Mambo story za Rothschild,Nephilims,pyramids,TANU na akina Sykes,skendo za EPA, Escrow,Buzwagi,Mchuchuma,Bao la mkono,Mambo ya teknoloji ya NASA Kina Albert Einstein,Tesla,pia Mambo ya KGB,TISS,CIA,Mambo ya frauds ya kina Frank Abagnale,Emmanuel Nwude,Wauza unga kina Pablo Escobar Big Meech,Larry hoover,,story za music kina Rolling stones,2pac, Michael Jackson,Mbaraka Mwinshehe,Dogo Hashim,Miriam Makeba, Story za watawala kina Mao,Mobutu,Mansa Musa,Mambo ya biashara,ujenzi na jukwaa la afya.Ilikuwa home of Great Thinkers kweli.

Sasa hivi sio JF Ile nadhan ni kutokana na muingiliano na IG na Facebook users.Siku hizi kuna Uzi"Kula tunda kimasihara.
Hahaha... ''Umewahi kula tunda kimasihara??''
 
Back
Top Bottom