Venturimeter
JF-Expert Member
- Oct 15, 2016
- 224
- 523
Wachaga ni pasua kichwa mzeeNilipogundua kuwa ni mchaga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wachaga ni pasua kichwa mzeeNilipogundua kuwa ni mchaga
Daa kidogo unataka kufanana na huyu wangu Ana utoto kama huu mbaya hata ukionesha unachukia utoto wake haelewi.Nimewahi muacha demu wangu nilimpenda sana kisa utoto wake. Alimwambia dada yake aniambie Mimi sio shemeji yake bali ana shemeji mwingine anayejulikana sio Mimi nia anirushe roho. Kumbe kalikuwa kanatikisa kiberiti. Nilivyoambiwa tu hayo maneno na dada yake nilifunga vioo malizima japo alilia na kuniomba msamaha sana yeye pamoja na dada mtu, sikuweza badili msimamo wangu. Nilimove on nikaoa saivi Nina familia yenye amani, yeye aliolewa akaachika saivi anapuyanga na maisha tu
DuuuDuuh kumbe huyu nisimuache japo ni chuma ulete kwa kiasi chake ila anajari matatizo yangu na hivyo viburi vya kuzira hana maana mm dakika mbili mbele nshafura hasira.
Alishajaribu hizo tuachane akaambulia patupu maana nilimuachana kweli.
Hawa viumbe sometimes hawapendi kheri bali shari sijui kwanini, mpaka leo nashindwa kuelewa hili.
Huyu wangu ukileta kheri yeye atafanya juu chini alete shari, basi nshazoea na mimi sometimes naanzisha zogo zogo kweli hadi machozi yamtoke.
Wewe Ndio inapaswa umtulize. Ukiweza hata simu inapaswa ukae nayo weweMwambie atulie sasa, maana anaruka ruka kama kitenesi yani
Muda ni rafiki mwema kakaMimi, nimeshadharaulika. Nimeshachambwa, nimeshadhalilika, nimeshahudumia sana, amenifanyia mabay yote, lakini sikumuacha, niligundua makuzi aliyokulia yalimfanya asiamini kuna upendo wa kweli, nikapambana akae sawa na kweli, alikaa sawa, nipo nae hadi muda huu...na hakika.mimi ni shujaa nina uwezo wakumbadilisha yeyote na akakaa sawa kabisa
Kufua chupi sihesabii kama kufua... hiyo ni kitu ya dakika 3 tu.Kwa hiyo nan anakufulia chupi??
Hata wenye pesa wanaliaUwe mwanamke au mwanamme, ukiwa na pesa utaya-control mapenzi.
Vijana msijidanganye, maisha ya leo hakuna mapenzi bila pesa.
Naomba Kazi yakukufuliaKufua chupi sihesabii kama kufua... hiyo ni kitu ya dakika 3 tu.
Namaanisha kufua as in kufua.
Mtume Muhammad alimuoa bi Aisha bila hakuwa na pesaUwe mwanamke au mwanamme, ukiwa na pesa utaya-control mapenzi.
Vijana msijidanganye, maisha ya leo hakuna mapenzi bila pesa.
Real men never cheat 😀😀😀Naomba Kazi yakukufulia
Sawa mkwe nakusubiriSawa mkwe, ngoja jiandae akili, jiandae kupata nondo.
Hovyoo....!🤸Mwambie atulie sasa, maana anaruka ruka kama kitenesi yani
Kibunda cha mimbakibunda cha hela au kibunda cha karatasi😂😂
😂😂😂kaa nacho wewe ukifurahieKibunda cha mimba
Nimewiwa kukupa wewe mtoto mzuri.😂😂😂kaa nacho wewe ukifurahie
😂😁😁Hivi unajisikiaje kutumia ID ya kike hali ya kuwa wewe ni dume?