sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 19,955
- 45,207
Mkuu ni idadi ndio inafanya usikumbuke???Ni mwendo wa kutema nyongo hapa, binafsi sikumbuki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ni idadi ndio inafanya usikumbuke???Ni mwendo wa kutema nyongo hapa, binafsi sikumbuki.
ninakutaka nikupe kibunda.mapenzi ni ya watu walioshiba 😂😂
me ngoja nikatulize fuvu kwanza
Wanakuja hata saa 8 usiku hakuna kulala...ila
😂😂😂ujasiri wa kukopa OYA mnautoa wapi wale hivi wanalalaga maana hata alfajiri unakutana na vigari vyao mtaani😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂Eti MTU ukianza kuongelea mambo YA Dini mood inachange totally disinterestedKama nakuona ukiwa unasali uwepo wa Kristo unaupataje akiwepo 🤣🤣🤣🤣
Sasa hivi jimbo lina mtu?nilikua nakaa mkoa tofauti nauli najichanga mwenyewe, mkikutana hela yangu ndio inunue chakula kulipia lodge na bado naondoka na nyege zangu najiuliza had leo sjui ilikuaje bado sikh zingine umuanze wewe kwa kumtext siku nikakaa kikao na nafsi yangu na kuanza kujisimanga yani kweli mimi leo hii ndio naspend hela yangu na mwanaume hana impact yoyote kwangu? hajui kujiongeza nikajisemea hapana natakiwa kutoka kwa nguvu zote kwenye hayo mahusiano na yule boya! had leo nikikumbuka najicheka
Safi. Ulimla tiGo?Kwa upande wangu kuna kipindi nilisafiri kwa siku kadhaa, nikiwa huko nikapigiwa simu kwamba wezi wamevunja dirisha ghetto kwangu na kuniibia. Ikabidi nikatishe shughuli zilizonipeleka kule na kuamua kurudi niangalie mazingira. Hawakuchukua vitu vyote, ila vilivyobaki navyo viliharibika (nadhani katika purukushani ya kuvibeba). Kati ya vitu walivyoiba, kulikuwa na vitu ambavyo ndio nilikuwa navitumia kwenye biashara zangu za wakati huo. Kiufupi wakawa wamenirudisha nyuma sana.
Nilimpa taarifa aliyekuwa mpenzi wangu, kwavile hakuwa anaishi mbali na pale, akaja hadi eneo la tukio. Akanipa pole, tukaenda wote polisi kureport tukio. Wakati ananiaga arudi kwao, akaniambia anashida ya kiasi fulani cha hela maana Mzee wake anaumwa. Sikuwa vizuri kifedha muda ule maana ndio nimetoka safari, alaf pia biashara ndio kama hivyo nishapigwa tukio. Hivyo nikamwambia kiasi alichoomba kwa muda ule sina, ila avumilie kama siku mbili hivi nione naweza kumsaidia kiasi gani.
Hapo ikawa ugomvi, akalalamika kwamba sijali matatizo yake, siyatimizi kwa wakati, siwapi uzito ndugu zake nk. Akaondoka kwa hasira, hata nauli niliyotaka kumpa akaikataa.
Alinighost for two days, hapokei simu wala kujibu msg zangu
Pale ndio nikapata red flag, kwamba "She doesn't take no for an answer". Jambo ambalo in long run lazima lingetugombanisha tena mara kwa mara. Maana hiyo ilikuwa ni kama mara ya tatu hali hiyo inajitokeza.
From there nikaona tunapotezeana muda, nikamuacha mpaka hasira zake zilivyoisha. Siku aliyoamua kunitafuta, nikamuomba tuonane, akagoma na kusema nieleze shida yangu kwa simu. Sasa sijui alihisi namuita aje kunipa shoo au vipi. Nikamuelezea kwa simu nilichoamua, akajifanya kupanick, haukupita muda ghafla nashangaa mtu huyu hapa mlangoni kwangu. Akawa hataki habari za kuachana ila msimamo wangu ukawa ni huo.
Mwisho wa siku akakubaliana na hali.
Ulimpa tiGo?nilikua nakaa mkoa tofauti nauli najichanga mwenyewe, mkikutana hela yangu ndio inunue chakula kulipia lodge na bado naondoka na nyege zangu najiuliza had leo sjui ilikuaje bado sikh zingine umuanze wewe kwa kumtext siku nikakaa kikao na nafsi yangu na kuanza kujisimanga yani kweli mimi leo hii ndio naspend hela yangu na mwanaume hana impact yoyote kwangu? hajui kujiongeza nikajisemea hapana natakiwa kutoka kwa nguvu zote kwenye hayo mahusiano na yule boya! had leo nikikumbuka najicheka
daaah😂😂Wanakuja hata saa 8 usiku hakuna kulala...
Tunaupata maisha haya yametufanya tuwe kama matapeli
kibunda cha hela au kibunda cha karatasi😂😂Mimi
ninakutaka nikupe kibunda.
Kwa hiyo nan anakufulia chupi??Mimi ntaachwa sana kwa hizi sababu....
Nina mwaka 10 almost sifui.... au generally nikijumlisha siku zote nilizofua maishani hazifiki siku 365.
Hiki si kitu cha kumuacha mtu bana.
Umeshaanza kuniletea risalaMkwe, kumkumbuka ni muhimu wala si Jambo Baya mkwe.
Wewe inapaswa ucheze namba yako vzr ukabe vizuri asipate nafasi ya kumkumbukq
Mkwe,Umeshaanza kuniletea risala
Mkwe,Umeshaanza kuniletea risala
Mbona unanichekesha asubuhi 😂Mkwe,
Lawama zote kwako. Fanya mambo vzr mkwe. Asikumbuke kabisaa wachumba wazamani, ikiwezekana asahau wote asahau Hadi kwao.
Ntakupa mbinu.
Sawa mkwe, ngoja jiandae akili, jiandae kupata nondo.Mbona unanichekesha asubuhi 😂
Subiri nije unipe mbinu,🤸
Kwakweli hamueleweki kabisa, yaani mnafanya mtu aishi kwa timing maana akizembea atapigwa vizinga plus za uso za kutosha.Ndio tulivyo mkuu! Kama wachawi tu 😂😂
Penda hiyo manzi harder.