Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio ukweli😣Akwende zake 😅
Ndio wacha afe tuuTulia wewe, kwahiyo ulitaka mgonjwa afe? 😂😂😂
😂😂😂 Hizo sasa hasira za kuibiwaNdio wacha afe tuu
Zako zimaliziwe mbona wezi hukuwafanya kitu?? Hapo mgonjwa apone, assets zitanuniliwa baada ya hali ya mgonjwa kutengamaa 🤣🤣🤣Akauze za kwao, kwani hawana asssets? 😅
Ndio tulivyo mkuu! Kama wachawi tu 😂😂Duuh kumbe huyu nisimuache japo ni chuma ulete kwa kiasi chake ila anajari matatizo yangu na hivyo viburi vya kuzira hana maana mm dakika mbili mbele nshafura hasira.
Alishajaribu hizo tuachane akaambulia patupu maana nilimuachana kweli.
Hawa viumbe sometimes hawapendi kheri bali shari sijui kwanini, mpaka leo nashindwa kuelewa hili.
Huyu wangu ukileta kheri yeye atafanya juu chini alete shari, basi nshazoea na mimi sometimes naanzisha zogo zogo kweli hadi machozi yamtoke.
Kuna story nikizisikia najiulizaga is this we? Is we this? My gender, tunatumikaga na shetani sana jamani, acheni tuoge mafuta kawe...kiruuu😞😞😞1. Wewe na hayo mampira yako nmechoka kama umelogwa, sasa chagua moja mimi au mpira. Nikachagua mpira wangu ambao nipo nao hadi leo.
2. Unamtumia mama yako hela yanini si unipe, mama yako na mimi nani wamuhimu sana kwako? Hapo nimetoka kupitia msoto mkali sana, mama mgonjwa na hiyo hela niliuza pc yangu na lengo nilimwambia. Sikumjibu alivyoondoka nikampunguza jumla.
Mimi ntaachwa sana kwa hizi sababu....As man at times unatamani hata mara moja moja upikiwe na baby, kufua hajawahi in two years time. Kwangu ilikuwa sawa but chakula it was a red flag...! It didn't sit well with me.
Wanawake tulee watoto vizuri, we can do better. Kuna vitu ni inhumane.....Kuna story nikizisikia najiulizaga is this we? Is we this? My gender, tunatumikaga na shetani sana jamani, acheni tuoge mafuta kawe...kiruuu😞😞😞
Kabisa..highest degree of selfishness. Cha kushangaza: tumejaa makanisani na misikitini, madai ya uchaji. Uchaji which, where, when, how??? hata vitabu vya dini vimekataza....though waliotufundisha haya ni wanaume ila mwisho wa siku KILA MTU ATABEBA MSALABA WAKE MWENYEWE!!!!Wanawake tulee watoto vizuri, we can do better. Kuna vitu ni inhumane.....
Shida unatuacha njia panda 🤣🤣🤣Katika pitapita zangu za stories za breakups na migogoro ya mapenzi sjawahi kukutana na case kama ile wallah!🙌
Kufua has never been an issue...! Kuna mtu special kwa ajili ya hilo... Not Cooking ndo ilikuwa issueMimi ntaachwa sana kwa hizi sababu....
Nina mwaka 10 almost sifui.... au generally nikijumlidha siku zote nilizofua maishani hazifiki siku 365.
Hiki si kitu cha kumuacha mtu bana.
Kama nakuona ukiwa unasali uwepo wa Kristo unaupataje akiwepo 🤣🤣🤣🤣😂😂Acha tuu nliamua kutoka
Kuna wengine hata la ulezi wa watoto ni shida ukirudi nyumbani hapatamaniki hoi taabani yeye na Korean DramaWanawake tulee watoto vizuri, we can do better. Kuna vitu ni inhumane.....