Fact! 👍Uwe mwanamke au mwanamme, ukiwa na pesa utaya-control mapenzi.
Vijana msijidanganye, maisha ya leo hakuna mapenzi bila pesa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fact! 👍Uwe mwanamke au mwanamme, ukiwa na pesa utaya-control mapenzi.
Vijana msijidanganye, maisha ya leo hakuna mapenzi bila pesa.
Either ni mchawi huyo au ana mapepo. Hawa wote wanaopinga uwepo wa Mungu akina min -me and co's wana mapepo hao pia ni washirika wa nguvu za giza. Wanawaseti tu. Jamaa huyo angekutoa kafara.Ndiyo
😂😂Acha tuu nliamua kutokaEither ni mchawi huyo au ana mapepo. Hawa wote wanaopinga uwepo wa Mungu akina min -me and co's wana mapepo hao pia ni washirika wa nguvu za giza. Wanawaseti tu. Jamaa huyo angekutoa kafara.
Ni shida kweli kweli kupata mwanamke anajielewa na hana mambo ya omba omba. Ukimpata basi utakuta hana tako au sura ya baba🤣🤣🤣🤣Aiseee huyo hatari, na hii ndio shida ya wanawake walio wengi yaani ukiwa naye kwenye mahusiano tayari anaona amepata pa kutulia matatizo yake mbaya zaidi haangalii hata mazingira anachoangalia ni shida zake kuisha
Mkuu kwanini na wewe utake utamu kwa mwanamke hujamuoa?Kwa nini ulitaka kumsaidia kifedha mwanamke ambaye haujamuoa?
Mwanamke pekee ambaye anatakiwa ale pesa yako ni mkeo wa ndoa tu
Ila nakupongeza kwa kumpiga chini huyo malaya
Wenye sura za baba si hamuwataki. Endeleeni kunyooshwa na hizo pisi kali [emoji75]Ni shida kweli kweli kupata mwanamke anajielewa na hana mambo ya omba omba. Ukimpata basi utakuta hana tako au sura ya baba[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23]Wa kwanza alikuwa single mama, aisee mbususu yake ilikuwa tamu na niseme ukweli katika wanawake wazuri niliwahi date huyu alikuwa pisi kweli kweli na nakawa najipa matumaini hapa mzabzab natulia naoa.
Sasa bwana, siku moja mrembo tumeenda zetu mall full raha nikasema leo bby ngoja nimtreat nikambia wee kafanye shoppig. Mie nikaenda zurula zangu maeno. Narudi nakuta bill laki nne na zote kwenye cosmetics. Aisee nililipa kinyonge sana....kweli tusake hela....anyways nikasema sio ishu sana.
Alipokuja kuniboa siku katika maomgezi ananiambia oh mzabzab inabidi umpende mtoto wangu kuliko mie....halloooo...hapo ndio nikasema pamoja na upisi kali wako na utamu wa mbususu hapa mie nduki.
Sasa na wewe unacheka nini tena? Ngoja na wewe andunje apate sababu ya kukubwaga.[emoji23][emoji23][emoji23]
Acha hizo bwana grid ipi kwanza? Wewe lazima uje kula ubwabwa tuombeane uzima tu rafiki yangu.Sasa na wewe unacheka nini tena? Ngoja na wewe andunje apate sababu ya kukubwaga.
Wee bwana unajua mwenzio nipo grid ya taifa sasa harusi yako unavyozidi kuchelewesha mie nitakufa sijala wali mchafu....mwambia andunje mzabzab anasema afanye haraka kuhusu harusi
Haya ukae kimachale lakini usije ukaanza kusema oh wanaume washenzi...2024 ndio hiyoooo inaishaAcha hizo bwana grid ipi kwanza? Wewe lazima uje kula ubwabwa tuombeane uzima tu rafiki yangu.
Niko BungeniHaya kweli ndo majukumu muhumi ya kiserikali kayngay ww!?
😟Kwa nini ulitaka kumsaidia kifedha mwanamke ambaye haujamuoa?
Mwanamke pekee ambaye anatakiwa ale pesa yako ni mkeo wa ndoa tu
Ila nakupongeza kwa kumpiga chini huyo malaya
nimechekaAlikuwa anajidai msafi sana.. Kila mara akija #ghetto# lazima abadilishe mashuka... Anakaa hata 3 days ni kubadili shuka tu ila hafui... Yeye anakuta safi nimezifua yeye ni kutandika safi tu.
Akifua sana sana ni soksi zangu tu na leso... Nikaona hapa sio ishu.. Kama kufua hataki kwanini abadili shuka!?... Nikavua kiatu.. Nikasonga mbele kama injili..
Tunalipia mchakato wote wa kula utamu tu baada ya hapo asinitafuteMkuu kwanini na wewe utake utamu kwa mwanamke hujamuoa?
Jibu la kibabe akikujibu nitagYeye kwa unavyoona alikuwa ananipenda?
😂Daaah aisee JF kituo cha burudaniYule wa kwangu alikuwa hajui kumenya machungwa. Yani akimenya lazima ayachimbe chimbe kiasi kwamba huyali kwa raha. Kuna siku walikuja washkaji ghetto, baada ya msosi akatuandalia machungwa. Aisee aliyachimba balaa, nikajiuliza what if wangekuwa wageni wa heshima, si ataniaibisha huyu?
Nikapiga chini.
Sisi wenye mkopo ASA na OYA tupumzike😆😆😆mapenzi ni ya watu walioshiba 😂😂
me ngoja nikatulize fuvu kwanza