Ni kitu gani kilikufanya utambue uliyenae kwenye mahusiano sio mtu sahihi kwako?

Ni kitu gani kilikufanya utambue uliyenae kwenye mahusiano sio mtu sahihi kwako?

Kufua has never been an issue...! Kuna mtu special kwa ajili ya hilo... Not Cooking ndo ilikuwa issue
Upishi hata ajue kidogo sio asijue kabisa huwa Ni hatari...maana kuna situation anaweza ruhusu chakula kilichopikwa vibaya kikawafikia wageni pasi yeye kujua.
 
Kabisa..highest degree of selfishness. Cha kushangaza: tumejaa makanisani na misikitini, madai ya uchaji. Uchaji which, where, when, how??? hata vitabu vya dini vimekataza....though waliotufundisha haya ni wanaume ila mwisho wa siku KILA MTU ATABEBA MSALABA WAKE MWENYEWE!!!!
So shida Ni wao wenyewe sio sheta tena...maana Kila kitu sheta huona ndio sababu ya yanayowasibu
 
Kwa nini ulitaka kumsaidia kifedha mwanamke ambaye haujamuoa?

Mwanamke pekee ambaye anatakiwa ale pesa yako ni mkeo wa ndoa tu

Ila nakupongeza kwa kumpiga chini huyo malaya
Hii kitu huwa najiuliza nashindwa kuelewa inakuwaje mwanamume atoe pesa kumpa mwanamke ambaye sio mkewe?

Kumpa pesa mwanamke ambaye sio mke ni kujitafutia mikosi na mabalaa yasiyo na ulazima.
 
Upishi hata ajue kidogo sio asijue kabisa huwa Ni hatari...maana kuna situation anaweza ruhusu chakula kilichopikwa vibaya kikawafikia wageni pasi yeye kujua.
📌📌📌
 
Basi mimi niliachwa, baada ya kuona demu yupo kwangu ki masilahi nikaanza vituko, leo hiki kesho kile lakini yumo tu hataki kuachana na mimi. Mwanzo nikajua ana mapenzi na mimi kumbe alikuwa anapambania maokoto, siku moja nikamsikia anaongea na rafiki yake anamwambia ndio vile jamaa ananihidumia kila kitu vijana wa sasa hawatoi hela huyu nimebahatisha simwachi,nikasema sikuachi utaniacha mwenyewe. Nilimpiga matukio plus sina hela kila siku mpaka akasepa mwenyewe.
 
Aliniropokea kama mara mbili kuwa "Nampenda sana sina uwezo wa kumuacha, hata yeye akiniacha basi tajinyonga" nikakaa kama two weeks hivi kajisahau akaniomba 100k alipe kodi nkamwambia it's OVER. Sasa yeye mwaka wa pili huu kashindwa ku-move on anambembeleza mwanaume ambae hana uwezo wa kumwacha😆😆
 
Huwa sijiulizi mara 2 kumpiga chini demu anayeninunia kwa sababu ya kutompa hela. Tena hufurahi sana hiyo "taraka"
Nina nidhamu sana ya hela kwenye mapenzi, kwa sababu mimi sio source of income ya mwanamke.

Yule demu nilikuwa nampa pesa ndogo ndogo, kwa mara moja haizidi 30k. Siku moja akiwa kifuani kwangu akaniambia hata sijawahi kumsaidia jambo kubwa zaidi ya pesa ndogo ndogo.

Baada ya kuondoka, sikupokea tena simu yake. Akatuma watu kuomba msamaha, sikuwajibu.

Mwanamke ukishamla asikuendeshe
Leo mwasibu umeandika jambo kama mwananchi vile
 
Kuna story nikizisikia najiulizaga is this we? Is we this? My gender, tunatumikaga na shetani sana jamani, acheni tuoge mafuta kawe...kiruuu😞😞😞
Kuna baadhi yenu utu unawatoka kabisa hasa mbele ya fedha. Matukio ni mengi sana yanasikitisha.
 
Kuna baadhi yenu utu unawatoka kabisa hasa mbele ya fedha. Matukio ni mengi sana yanasikitisha.
And you know whats crazier??🤔
Unakuta huyo anaekufanyia hayo ni single mama mwenye mtoto wa kiume ANAYEMPENDA sana kiasi kwamba asingevumilia kuona akitendewa hayo anayokutendea. Biblia imeniambia "Mademoiselle mjue SANA MUNGU ili uwe na amani..na ndipo MEMA yatakapokujia", sema njoo vile tena, wengi wetu tunaigiza wokovu...hatuuishi wokovu. Yajayo yanaogopesha!!!
 
And you know whats crazier??🤔
Unakuta huyo anaekufanyia hayo ni single mama mwenye mtoto wa kiume ANAYEMPENDA sana kiasi kwamba asingevumilia kuona akitendewa hayo anayokutendea. Biblia imeniambia "Mademoiselle mjue SANA MUNGU ili uwe na amani..na ndipo MEMA yatakapokujia", sema njoo vile tena, wengi wetu tunaigiza wokovu...hatuuishi wokovu. Yajayo yanaogopesha!!!
Unadhani kuna kujali kuhusu hilo basi, mtu anawaza kuifuraisha na kuinufaisha nafsi yake bila kujali kuwa anamuumiza mwingine.

Wengi wanaishi maigizo, huwezi kuwa na hofu ya Mungu alafu ufanye mambo kama hayo.
 
Alivyo Anza kusali Kwa mchungaji Rose shoboka sijui ndio Nani..
 
Back
Top Bottom