Ni kitu gani kilikufanya utambue uliyenae kwenye mahusiano sio mtu sahihi kwako?

Ni kitu gani kilikufanya utambue uliyenae kwenye mahusiano sio mtu sahihi kwako?

Mimi nashangaa mwanaume unamsaidia vipi mwanamke ambae huna ndoa nae?.

Hivi hela unayotumia kwa huyo mwanamke na kununua Malay..a ipi bora?.

Malay… a hana usumbufu unamlipa mmemalizana, unae mwita girlfriend anataka hela yako kama mna mkataba wa kihela.

I love money,Bangi na Bia I don’t love no hoe.
Yeah kwa mwandiko huu nakukubalia unaipenda sana bangi
 
Alikuwa anajidai msafi sana.. Kila mara akija #ghetto# lazima abadilishe mashuka... Anakaa hata 3 days ni kubadili shuka tu ila hafui... Yeye anakuta safi nimezifua yeye ni kutandika safi tu.

Akifua sana sana ni soksi zangu tu na leso... Nikaona hapa sio ishu.. Kama kufua hataki kwanini abadili shuka!?... Nikavua kiatu.. Nikasonga mbele kama injili..
 
Alikuwa anajidai msafi sana.. Kila mara akija #ghetto# lazima abadilishe mashuka... Anakaa hata 3 days ni kubadili shuka tu ila hafui... Yeye anakuta safi nimezifua yeye ni kutandika safi tu.

Akifua sana sana ni soksi zangu tu na leso... Nikaona hapa sio ishu.. Kama kufua hataki kwanini abadili shuka!?... Nikavua kiatu.. Nikasonga mbele kama injili..
Ulikosea kumuacha! Ulitakiwa ununue washing machine
 
Huwa sijiulizi mara 2 kumpiga chini demu anayeninunia kwa sababu ya kutompa hela. Tena hufurahi sana hiyo "taraka"
Nina nidhamu sana ya hela kwenye mapenzi, kwa sababu mimi sio source of income ya mwanamke.

Yule demu nilikuwa nampa pesa ndogo ndogo, kwa mara moja haizidi 30k. Siku moja akiwa kifuani kwangu akaniambia hata sijawahi kumsaidia jambo kubwa zaidi ya pesa ndogo ndogo.

Baada ya kuondoka, sikupokea tena simu yake. Akatuma watu kuomba msamaha, sikuwajibu.

Mwanamke ukishamla asikuendeshe
 
Back
Top Bottom