Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah kwa mwandiko huu nakukubalia unaipenda sana bangiMimi nashangaa mwanaume unamsaidia vipi mwanamke ambae huna ndoa nae?.
Hivi hela unayotumia kwa huyo mwanamke na kununua Malay..a ipi bora?.
Malay… a hana usumbufu unamlipa mmemalizana, unae mwita girlfriend anataka hela yako kama mna mkataba wa kihela.
I love money,Bangi na Bia I don’t love no hoe.
Ila bora mlivyoachana...!🤸Acha tu Yani
Kunywa maji ukimaliza tunaendelea mimi na wewe hatutengani katuu
Sawa mchinaKunywa maji ukimaliza tunaendelea mimi na wewe hatutengani katuu
Mbona mie hujanitag? Ndio maana BICHWA KOMWE - Sababu ya roho ulionayoHajui kupeleka moto mpaka mbolo ifike kunako KISOGO na maini na bandama.
Cc: Mzee wa kupambania dronedrake The Mongolian Savage adriz The Icebreaker Mufti kuku The Infinity The Stress Challengerr fundi bishoo
Ulikosea kumuacha! Ulitakiwa ununue washing machineAlikuwa anajidai msafi sana.. Kila mara akija #ghetto# lazima abadilishe mashuka... Anakaa hata 3 days ni kubadili shuka tu ila hafui... Yeye anakuta safi nimezifua yeye ni kutandika safi tu.
Akifua sana sana ni soksi zangu tu na leso... Nikaona hapa sio ishu.. Kama kufua hataki kwanini abadili shuka!?... Nikavua kiatu.. Nikasonga mbele kama injili..
Kwani we unapeleka moto hadi kisogoni? 😂😂Mbona mie hujanitag? Ndio maana BICHWA KOMWE - Sababu ya roho ulionayo
una unafki sana😂😂😂Kivipi tena? 😅😅
Teh..Ulikosea kumuacha! Ulitakiwa ununue washing machine
Hiyo ni familia ya baba yakeTeh..
Kwao sidhani kama Baba yake alinunua ya kufulia kwao.. Sasa kwanini mimi ndio ninunue?