Ni kitu gani kilikufanya utambue uliyenae kwenye mahusiano sio mtu sahihi kwako?

Ni kitu gani kilikufanya utambue uliyenae kwenye mahusiano sio mtu sahihi kwako?

Kwa upande wangu kuna kipindi nilisafiri kwa siku kadhaa, nikiwa huko nikapigiwa simu kwamba wezi wamevunja dirisha ghetto kwangu na kuniibia. Ikabidi nikatishe shughuli zilizonipeleka kule na kuamua kurudi niangalie mazingira. Hawakuchukua vitu vyote, ila vilivyobaki navyo viliharibika (nadhani katika purukushani ya kuvibeba). Kati ya vitu walivyoiba, kulikuwa na vitu ambavyo ndio nilikuwa navitumia kwenye biashara zangu za wakati huo. Kiufupi wakawa wamenirudisha nyuma sana.

Nilimpa taarifa aliyekuwa mpenzi wangu, kwavile hakuwa anaishi mbali na pale, akaja hadi eneo la tukio. Akanipa pole, tukaenda wote polisi kureport tukio. Wakati ananiaga arudi kwao, akaniambia anashida ya kiasi fulani cha hela maana Mzee wake anaumwa. Sikuwa vizuri kifedha muda ule maana ndio nimetoka safari, alaf pia biashara ndio kama hivyo nishapigwa tukio. Hivyo nikamwambia kiasi alichoomba kwa muda ule sina, ila avumilie kama siku mbili hivi nione naweza kumsaidia kiasi gani.

Hapo ikawa ugomvi, akalalamika kwamba sijali matatizo yake, siyatimizi kwa wakati, siwapi uzito ndugu zake nk. Akaondoka kwa hasira, hata nauli niliyotaka kumpa akaikataa.

Alinighost for two days, hapokei simu wala kujibu msg zangu

Pale ndio nikapata red flag, kwamba "She doesn't take no for an answer". Jambo ambalo in long run lazima lingetugombanisha tena mara kwa mara. Maana hiyo ilikuwa ni kama mara ya tatu hali hiyo inajitokeza.

From there nikaona tunapotezeana muda, nikamuacha mpaka hasira zake zilivyoisha. Siku aliyoamua kunitafuta, nikamuomba tuonane, akagoma na kusema nieleze shida yangu kwa simu. Sasa sijui alihisi namuita aje kunipa shoo au vipi. Nikamuelezea kwa simu nilichoamua, akajifanya kupanick, haukupita muda ghafla nashangaa mtu huyu hapa mlangoni kwangu. Akawa hataki habari za kuachana ila msimamo wangu ukawa ni huo.

Mwisho wa siku akakubaliana na hali.
Alianza kujamba hovyo usiku
Alianza kuongea na simu masaa mengi
Alianza kuwachukia ndugu zangu
Alianza kutuchonganisha na majirani
 
Duuh kumbe huyu nisimuache japo ni chuma ulete kwa kiasi chake ila anajari matatizo yangu na hivyo viburi vya kuzira hana maana mm dakika mbili mbele nshafura hasira.
Alishajaribu hizo tuachane akaambulia patupu maana nilimuachana kweli.

Hawa viumbe sometimes hawapendi kheri bali shari sijui kwanini, mpaka leo nashindwa kuelewa hili.
Huyu wangu ukileta kheri yeye atafanya juu chini alete shari, basi nshazoea na mimi sometimes naanzisha zogo zogo kweli hadi machozi yamtoke.
 
Kwa upande wangu kuna kipindi nilisafiri kwa siku kadhaa, nikiwa huko nikapigiwa simu kwamba wezi wamevunja dirisha ghetto kwangu na kuniibia. Ikabidi nikatishe shughuli zilizonipeleka kule na kuamua kurudi niangalie mazingira. Hawakuchukua vitu vyote, ila vilivyobaki navyo viliharibika (nadhani katika purukushani ya kuvibeba). Kati ya vitu walivyoiba, kulikuwa na vitu ambavyo ndio nilikuwa navitumia kwenye biashara zangu za wakati huo. Kiufupi wakawa wamenirudisha nyuma sana.

Nilimpa taarifa aliyekuwa mpenzi wangu, kwavile hakuwa anaishi mbali na pale, akaja hadi eneo la tukio. Akanipa pole, tukaenda wote polisi kureport tukio. Wakati ananiaga arudi kwao, akaniambia anashida ya kiasi fulani cha hela maana Mzee wake anaumwa. Sikuwa vizuri kifedha muda ule maana ndio nimetoka safari, alaf pia biashara ndio kama hivyo nishapigwa tukio. Hivyo nikamwambia kiasi alichoomba kwa muda ule sina, ila avumilie kama siku mbili hivi nione naweza kumsaidia kiasi gani.

Hapo ikawa ugomvi, akalalamika kwamba sijali matatizo yake, siyatimizi kwa wakati, siwapi uzito ndugu zake nk. Akaondoka kwa hasira, hata nauli niliyotaka kumpa akaikataa.

Alinighost for two days, hapokei simu wala kujibu msg zangu

Pale ndio nikapata red flag, kwamba "She doesn't take no for an answer". Jambo ambalo in long run lazima lingetugombanisha tena mara kwa mara. Maana hiyo ilikuwa ni kama mara ya tatu hali hiyo inajitokeza.

From there nikaona tunapotezeana muda, nikamuacha mpaka hasira zake zilivyoisha. Siku aliyoamua kunitafuta, nikamuomba tuonane, akagoma na kusema nieleze shida yangu kwa simu. Sasa sijui alihisi namuita aje kunipa shoo au vipi. Nikamuelezea kwa simu nilichoamua, akajifanya kupanick, haukupita muda ghafla nashangaa mtu huyu hapa mlangoni kwangu. Akawa hataki habari za kuachana ila msimamo wangu ukawa ni huo.

Mwisho wa siku akakubaliana na hali.
Seen.
 
Wanawake kwakweli sijui hua mna matatizo gani?

Huyu dem anaishi mkoa tofauti na niliko mimi. Sasa tukiwa mbali kila siku hua ananiambia jinsi ambavyo amenimiss, ana hamu na mimi, ananishawishi sana nije mkoa alipo na ahadi kedekede jinsi ambavyo nikija "atanipea yote".

Cha ajabu sasa, juzi ilikua mara ya 3 mimi kuja mkoa alipo, lakini nikishafika tu huo mkoa, yeye ataanza kutoa kila aina ya visingizio visivyo na kichwa wala miguu kwanini hawezi kuja tuonane! Mind you, tulishakulana.

Sasa nimeona bora nibwage manyanga kimyakimya kwakweli. Huu ni uzwazwa.
 
Alinicall akihitaji niende mahali alipo, long time hatukua tume meet,nilifika right time,tukapga story za hapa na pale,tukalala.....
Alinitumia the whole night,and morning tukaagana nikaondoka....hakunipa hata nauli ya kurudi nilipotoka,

kumbuka usiku huo hakuninunulia hata maji ya kunywa YAANI nili lala na njaa,na asubuh niliondoka na njaa na sikupewa hata shilingi 500.

KATIKA SIKU NAZILAANI KATIKA MAISHA YABGU NI SIKU HII, MWAMBIE HUYU WA USICHANA WANGU NILIMPEA ZAWADI YA BIKIRA YANGU,NILIMPENDA AKIWA HANA KITU MPAKA AKAWA NA KITU.......

MIMI NA YEYE ULE ULIKUA MWISHO WETU, NINAMCHUKIA KUTOKA NDANI YA MOYO WANGU
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣tatizo unaendekeza njaa ila kuoga aaaaaah.
 
Yule wa kwangu alikuwa hajui kumenya machungwa. Yani akimenya lazima ayachimbe chimbe kiasi kwamba huyali kwa raha. Kuna siku walikuja washkaji ghetto, baada ya msosi akatuandalia machungwa. Aisee aliyachimba balaa, nikajiuliza what if wangekuwa wageni wa heshima, si ataniaibisha huyu?

Nikapiga chini.
🤣🤣🤣sasa mkuu si ungemuelekeza tu ni jambo dogo sana hilo
 
Back
Top Bottom