Ni kitu gani kilikupelekea mpaka ukajiunga na mtandao wa jamiiforum

Jamii Forum Maadili nawapa pole. Pamoja na makorokocho yote ya humu lakini hutaki kujitoa nyambafu.
 
Aiseee hongera mkuu me kuna majukwaa huwa sitembelei kabisa kama kubet, dini nk no
 
Hahahhaah mtapata taabu sana
 
Bila shaka Kwenye jukwaa la Mapenzi ulikuwa mlevi wa Stori za Kasie
Na jukwaa la technology ulikuwa mlevi wa nyuzi za Chief-Mkwawa
 
Ujakosea mkuu huyo chief mkwawa na kasie salute kwao ila chief mkwawa sijui amejifunzia wapi maana huwa najiuliza sipaji jibu
Chief ni moja ya IT Guru sana na ana blogs zake nyingi hapa bongo hivyo mambo ya technology hapo umefika.
Hongera kwake
 
Chief ni moja ya IT Guru sana na ana blogs zake nyingi hapa bongo hivyo mambo ya technology hapo umefika.
Hongera kwake
Aisee nampongeza tena jamaa amenisaidia sana yani huwa nasoma post zake ni hatari tupu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…