Ni kitu gani ulikijaribu kwa lengo la kutesti mara moja ila kimekuingiza kwenye shimo la uraibu/addiction unatamani kutoka lakini unashindwa?

Kunywa pombe aisee natamani kuacha sana ila naweza kaa ata week 2 bila kunywa ila nikibaki mwenyewe ghetto siku mzima nikiboreka tu mawazo yananiijia kwenda kunywa najikuta nimekunywa
 
kwa hiyo nikishatoka hapo nakuwa nimeweza kuacha?
Utaelezwa madhara na utafanyiwa counselling.
Tatizo Watanzania tunaona hospital kama sehemu ya matibabu ya kimwili tu,no hata kisaikolojia pia. Pale ni sehemu hata mishe zako haziendi vizuri unaweza kwenda kupata ushauri(cha msingi umpate mtu sahihi wa hiyo shida)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…