Ni kitu gani ulishawahi kukatazwa na mpenzi wako hadi ukajiuliza hivi huyu ananichukuliaje?

Hahahaha
 
😂😂 hongera sana mtu kama huyo hafai alikuona hauna ujanja wa kuishi bila yeye kumbe alikua anajidanganya. Mtu wa hvyo hata kama unampenda kwa kauli hizo bora ukubali maumivu tu ili aone yeye sio Mungu mtu.
Asante, kama ningeshikilia yale mahusiano mpaka saizi...

Nahisi na mm ningekuwa nahudhuria therapy za afya ya akili maana ilikuwa ni vurugu mechi nguo kuchanika kila siku.

Na nilimkomesha kwa kuhama mpaka mkoa ili tu nikaanze upya huko niendakoooo
 
Raha ya kijora ni kwamba habar za joto joto kwishinei[emoji1787][emoji1787]barabaran ukiwa unatembea kinapepea chenyewe tu ndio maana napenda
Vijora Mwanamke akivaa anaoneka mwanamke wa uswahilini na mpenda vigodoro.
 
Asante, kama ningeshikilia yale mahusiano mpaka saizi...

Nahisi na mm ningekuwa nahudhuria therapy za afya ya akili maana ilikuwa ni vurugu mechi nguo kuchanika kila siku.

Na nilimkomesha kwa kuhama mpaka mkoa ili tu nikaanze upya huko niendakoooo
Yes ungelikuwa na hali mbaya maana hayo ni manyanyaso ya wazi wazi kabisa.

Tatizo tunawaamini wanaojiona kuwa hatuna ujanja kwao kwa lolote.
 
Nilidhani unanisemea mimi aisee
 
Vijora Mwanamke akivaa anaoneka mwanamke wa uswahilini na mpenda vigodoro.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]hatujar hata mtu akiwaza hivyo cha msingi na sekondari yetu yanaenda
 
Maumivu yanakomaza nafsi!hapo hata ukutane na Delillah wa Samson unamzoom tu,ukiona kaanza drama wewe unatia breki ghafla yaani bado ana wenge unamwambia shuka chini🤣
Wewe mtoto una maneno sana..." Eti unatia break ghafla"
 
Duh! Ulimfanya nini mpaka akutoe akili hivyo?
 
Hapo mkuu ulikuwa unatembea na Kajala!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…