Ni kitu gani ulishawahi kukatazwa na mpenzi wako hadi ukajiuliza hivi huyu ananichukuliaje?

Ni kitu gani ulishawahi kukatazwa na mpenzi wako hadi ukajiuliza hivi huyu ananichukuliaje?

Nasubiri.
nilikua napendana na binti mmoja hivi.... nilimdanganya umri wangu niliogopa asije akaniponyoka..... sasa kuna rafiki yangu wa karibu alikua anafahamiana nae, alimuambia umri wangu halisi....
Binti alimind mno, nilishindwa kujitetea basi vitimbwi vikaanza.... simu hapokei, meseji hajibu na zaidi ya yote, naniliu alikaza kabisa hanipi, juhudi zote zinagonga mwamba

mawasiliano yalikata kabisa mpaka siku moja tulipokutana, aligomba sana..... baada ya hapo hatujawahi ongea wala kuonana tena.... ni kosa nilifanya sawa, lakini alibadilika ghafla sana, tulikua tuko poa kabisa hatukosani wala nini.... sidhani kama nilistahili mateso yale....

nilikuja kugundua sasa yupo na yule rafiki yangu aliyeniponza, nae nimempotezea kabisa....
na hio ndo ikawa mara yangu ya kwanza na mwisho kuingia kwenye mahusiano😅

Kelsea
 
Alianza kunikataza kusuka baadhi ya mitindo ya nywele akawa anataka nisuke anavyotaka yeye tena ya gharama mbali na uwezo wangu na hajawahi kutoa hata mia ila kulalamika sasa ooh hujapendeza ilibidi usuke mtindo fulani. Nikaja nikanyoa kaja tena umepunguza sana nywele hupendezi[emoji849]

Nilikuja kumuacha na hadi leo hajuagi kwa nini nilimuacha labda kama ana akili sawa sawa atajiongeza ajue wapi alinikera. Alianza kulalamika mbona mwembamba sana anataka niongezeke.Yule umbwa nilimuangaliaaa sikuongea kitu toka pale nilimuacha kimya kimya. Anajiliza liza hadi leo eti kwa nini nilimuacha na sijawahi kumuambia sababu. Alininyanyasa sana kihisia sipendagi hata kumuona.
Aisee kumbe mapenzi yanawapelekesha sana eeh
 
nilikua napendana na binti mmoja hivi.... nilimdanganya umri wangu niliogopa asije akaniponyoka..... sasa kuna rafiki yangu wa karibu alikua anafahamiana nae, alimuambia umri wangu halisi....
Binti alimind mno, nilishindwa kujitetea basi vitimbwi vikaanza.... simu hapokei, meseji hajibu na zaidi ya yote, naniliu alikaza kabisa hanipi, juhudi zote zinagonga mwamba

mawasiliano yalikata kabisa mpaka siku moja tulipokutana, aligomba sana..... baada ya hapo hatujawahi ongea wala kuonana tena.... ni kosa nilifanya sawa, lakini alibadilika ghafla sana, tulikua tuko poa kabisa hatukosani wala nini.... sidhani kama nilistahili mateso yale....

nilikuja kugundua sasa yupo na yule rafiki yangu aliyeniponza, nae nimempotezea kabisa....
na hio ndo ikawa mara yangu ya kwanza na mwisho kuingia kwenye mahusiano[emoji28]

Kelsea
Mdada alikua mkubwa kukuzidi??
 
Alinikataza nisivae suruali za kitambaa au cardet na viatu vya kupiga kiwi. Nisiwe nanyoa level moja.

Alitamani niwe navaa t-shirt na jeanz na raba, kichwani niwe nanyoa pembeni naachia kidogo juu, au ikiwezekana niwe nazinyongorota virasta. Ndevu niziachie kama za kina Rick Ross, na niwe naenda gym kujaza body. Hivyo vingine nilishindwa ila alinifanya niwe napiga tizi na mpaka sasa nashukuru mazoezi yamekua sehemu ya maisha yangu. Ingawa mm na yule binti hatukuweza kufika mbali.

Nilichogundua, hawa masista duu wanawaadmire sana hawa mabishoo wanaojiweka namna hiyo (ingawa midomoni wanaonyesha kuwaponda). Kibaya zaidi wengi wao future hawana. Ndio maana wanaishia kua single mothers tu.
Watu wenye sifa za ubarobaro huwa ni mabad men. Na women admire badmen
 
Alianza kunikataza kusuka baadhi ya mitindo ya nywele akawa anataka nisuke anavyotaka yeye tena ya gharama mbali na uwezo wangu na hajawahi kutoa hata mia ila kulalamika sasa ooh hujapendeza ilibidi usuke mtindo fulani. Nikaja nikanyoa kaja tena umepunguza sana nywele hupendezi[emoji849]

Nilikuja kumuacha na hadi leo hajuagi kwa nini nilimuacha labda kama ana akili sawa sawa atajiongeza ajue wapi alinikera. Alianza kulalamika mbona mwembamba sana anataka niongezeke.Yule umbwa nilimuangaliaaa sikuongea kitu toka pale nilimuacha kimya kimya. Anajiliza liza hadi leo eti kwa nini nilimuacha na sijawahi kumuambia sababu. Alininyanyasa sana kihisia sipendagi hata kumuona.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anakupangia na hakuhudumii?? Woiiiiih
 
Back
Top Bottom