Ni kitu gani ulishawahi kukatazwa na mpenzi wako hadi ukajiuliza hivi huyu ananichukuliaje?

Ni kitu gani ulishawahi kukatazwa na mpenzi wako hadi ukajiuliza hivi huyu ananichukuliaje?

20230612_072408.jpg
Sitaki uwe na marafiki wa kike, la sivyo, ntakuombea isiwe ina simama. Nikaona huyu anataka kukata hadi tawi alilokalia?

Nikasepa fasta, simu sipokei mpaka leo.
 
Mnwteswa na mapenzi mnoo[emoji23][emoji23] huwa mnachagua partners mkiwa mnasinzia au[emoji23][emoji23]
Kwani mwanzoni utajua sasa? Tungekua tunajua toka mwanzo vilio kuhusu mahusiano katu visingekuwepo.
 
nilikua napendana na binti mmoja hivi.... nilimdanganya umri wangu niliogopa asije akaniponyoka..... sasa kuna rafiki yangu wa karibu alikua anafahamiana nae, alimuambia umri wangu halisi....
Binti alimind mno, nilishindwa kujitetea basi vitimbwi vikaanza.... simu hapokei, meseji hajibu na zaidi ya yote, naniliu alikaza kabisa hanipi, juhudi zote zinagonga mwamba

mawasiliano yalikata kabisa mpaka siku moja tulipokutana, aligomba sana..... baada ya hapo hatujawahi ongea wala kuonana tena.... ni kosa nilifanya sawa, lakini alibadilika ghafla sana, tulikua tuko poa kabisa hatukosani wala nini.... sidhani kama nilistahili mateso yale....

nilikuja kugundua sasa yupo na yule rafiki yangu aliyeniponza, nae nimempotezea kabisa....
na hio ndo ikawa mara yangu ya kwanza na mwisho kuingia kwenye mahusiano😅

Kelsea
Kwamba umri wako ungekuwa mkubwa sana au????
 
et kuanzia saa mbili usiku nisichat wala kupigiw simu
 
Nakumbuka dem Wang alnkataza kuongea na manzi yoyot, kumbe manz kibao walkua wanangombea, wiv tuu
 
Back
Top Bottom