Ni kitu gani watu wengine huona kuwa cha kawaida ila wewe huwezi kufanya au kuwa nacho?

Kupost vijembe whatsapp....mtu akipost vijembe aibu huwa naona mimi, kugombana kidogo wasapu mie siwezi!!!

Kujirekodi rekodi unaimba imba vinyimbo huku unafinya finya na kulamba midomo kisha kupost sijawahi na siwezi na huwa nashangaa wanaoweza wanawezaje
 
Kumtukana mwanamke.

Pia siwezi kuvumilia tusi linalotoka kinywani mwa mwanamke. Nitaondoka hilo eneo .

Kwa wanaume wenzangu haina shida.
 
Dah, kweli tuko tofauti.. me pensi nashindwa kuvaa church tu!
Mimi naivaa mbele ya mke wangu tu,

Zile ndefu zinazokaribia kwenye Ankle ndio navaa hadi public.

Sasa utakuta mtu amevaa kipensi kimeishia magotini na yupo comfortable kabisa, akikaa kipensi kinavutika hadi mapajani. Hiyo nilivaa enzi nipo primary tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…